Dkt. Mwigulu Nchemba anavyopendelewa na uongozi wa CCM Wilaya na Mkoa inaweza kabisa kutuponza CCM Iramba tukapoteza kwa upinzani. Nasema kweli kabisa
CCM wametoa maelekezo wagombea wote wapewe majina ya wajumbe wapiga kura ikibidi na namba zao ili wafanya nao mawasiliano ya kuomba kuungwa mkono inapotokwa wanapigiwa kura. Sasa hapa kilichotokea wachukua fomu wengine wote wamenyimwa majina na namba za simu za wajumbe wapiga kura
Amebaki Mwigulu tu peke yake ndiyo anatuma mimeseji na kuwapigia simu wapiga kura watarajiwa. Hii ni mbaya sana sana inatukatisha tamaa sisi washindani wa Dkt. Mwigulu kwa kiasi kwamba tunafikira hata kuhamia upinzani.
Sio mbaya zimebaki siku chache tupige kura - kama CCM hamchukui hatua ukweli mtauona kama mtapa Dkt. Mwigulu Nchemba nafasi. HATUKUBALI KAMWE! Amezoea kutuibia
CCM wametoa maelekezo wagombea wote wapewe majina ya wajumbe wapiga kura ikibidi na namba zao ili wafanya nao mawasiliano ya kuomba kuungwa mkono inapotokwa wanapigiwa kura. Sasa hapa kilichotokea wachukua fomu wengine wote wamenyimwa majina na namba za simu za wajumbe wapiga kura
Amebaki Mwigulu tu peke yake ndiyo anatuma mimeseji na kuwapigia simu wapiga kura watarajiwa. Hii ni mbaya sana sana inatukatisha tamaa sisi washindani wa Dkt. Mwigulu kwa kiasi kwamba tunafikira hata kuhamia upinzani.
Sio mbaya zimebaki siku chache tupige kura - kama CCM hamchukui hatua ukweli mtauona kama mtapa Dkt. Mwigulu Nchemba nafasi. HATUKUBALI KAMWE! Amezoea kutuibia