johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimemsikiliza Katika hotuba yake ya Maono ya 25 - 50 na jinsi alivyoelezea 00 - 25 naona anatembea mule mule mwa Baba wa Taifa mwalimu Nyerere na Shujaa Magufuli yaani Miundombinu, Afya na Elimu
Tuzidi kumuombea dhidi ya Wachawi, Washirikina na Wazandiki wote
Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka!
Tuzidi kumuombea dhidi ya Wachawi, Washirikina na Wazandiki wote
Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka!