Dkt. Mwigulu anaweza kuwa mzalendo namba 3 baada ya Nyerere na Magufuli, tumtafakari kwa 2030

Dkt. Mwigulu anaweza kuwa mzalendo namba 3 baada ya Nyerere na Magufuli, tumtafakari kwa 2030

Nimemsikiliza Katika hotuba yake ya Maono ya 25 - 50 na jinsi alivyoelezea 00 - 25 naona anatembea mule mule mwa Baba wa Taifa mwalimu Nyerere na Shujaa Magufuli yaani Miundombinu, Afya na Elimu

Tuzidi kumuombea dhidi ya Wachawi, Washirikina na Wazandiki wote

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka!
Naona unajiandaa Ila hongera SANA maana hujachelewa
 
Nimemsikiliza Katika hotuba yake ya Maono ya 25 - 50 na jinsi alivyoelezea 00 - 25 naona anatembea mule mule mwa Baba wa Taifa mwalimu Nyerere na Shujaa Magufuli yaani Miundombinu, Afya na Elimu

Tuzidi kumuombea dhidi ya Wachawi, Washirikina na Wazandiki wote

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka!
Kipara nae anaweza kua mzalendo kuliko hata Magufuli kwiiikwiiikwiii
 
Nimemsikiliza Katika hotuba yake ya Maono ya 25 - 50 na jinsi alivyoelezea 00 - 25 naona anatembea mule mule mwa Baba wa Taifa mwalimu Nyerere na Shujaa Magufuli yaani Miundombinu, Afya na Elimu

Tuzidi kumuombea dhidi ya Wachawi, Washirikina na Wazandiki wote

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka!
2030 ni mbali sana. Mpeni 2025 ili tujitawale
 
We jamaa hua naona watu wanakutukana leo ndo nimejua kwa nini
 
Huyu nadhani ni mmoja kati ya vigogo wanne waTanzania wanaotafutwa na FBI.
 
Nimemsikiliza Katika hotuba yake ya Maono ya 25 - 50 na jinsi alivyoelezea 00 - 25 naona anatembea mule mule mwa Baba wa Taifa mwalimu Nyerere na Shujaa Magufuli yaani Miundombinu, Afya na Elimu

Tuzidi kumuombea dhidi ya Wachawi, Washirikina na Wazandiki wote

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka!
Huwa mnapata faida gani ya kuwa chawa mkuwa vijana wadogo sana?
 
Back
Top Bottom