Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watapendekeza kuanzisha chjombo cha msuluhishi wa masuala ya kikodi ili kuepuka kero zilizopo.
Mwigulu amesema hali ilivyo kwa sasa mtu akifanyiwa makadirio ya kodi na asipokubaliana nayo, analazimika kumfuata huyohuoyo aliyemkadiria kuongea naye, ambapo pia huwa anatakiwa kutoa theluthi moja ya makadirio.
Ametoa mfano wa mianya ya rushwa iliyopo katika mfumo huo ambapo watumishi huomba fedha ili kuwapunguzia makadirio ya kodi watu wanaolalamikia malalamiko.
Mwigulu amesema hali ilivyo kwa sasa mtu akifanyiwa makadirio ya kodi na asipokubaliana nayo, analazimika kumfuata huyohuoyo aliyemkadiria kuongea naye, ambapo pia huwa anatakiwa kutoa theluthi moja ya makadirio.
Ametoa mfano wa mianya ya rushwa iliyopo katika mfumo huo ambapo watumishi huomba fedha ili kuwapunguzia makadirio ya kodi watu wanaolalamikia malalamiko.