In Magufuli voice,na bado sana lazima mtembelee nyota.yake,hakuna namnaWaziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake
Source: TBC
About time. Ila mzungu siyo mtu mzuri. Kuwakusanya marais wa Afrika kwenye daladala iwe fundisho kwetu.Waziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake
Source: TBC
Itakuwa vizuri tuanze upyaSafi sana ila kutumia usafiri wa pamoja hapo ikiwa ni ajali tutapoteza viongozi kwa pamoja
Hana haki yakusema watu wabane matumizi while yeye ndio mtumiaji namba moja. Days are numbered we knowWaziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake
Source: TBC
Kabisa mkuu.Siku viongozi wakiamua kubana na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa vitendo, basi hata raia wa kawaida watapata moyo wa kulipa kodi kwa hiyari.
Aanze na yeye kwenye hayo hasa kwenye Ziara mojaWaziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake.
Source: TBC
Vasco da Gama wa jinsia ya KE.TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.
=====
1). Rais Samia afanya ziara yake ya kwanza nchini Uganda mnamo 11 Aprili 2021 kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa nchi mbili na kumaliza makubaliano ya mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka nchini Uganda.
2). Rais Samia afanya Ziara ya Siku Mbili Nchini Kenya, kuanzia 04 Mei 2021
3). Rais Samia tarehe 16 Julai, 2021 afanya ziara ya Kitaifa ya siku mbili nchini Burundi kwa mwaliko wa Rais Evariste Ndayishimiye.
4). Rais Samia tarehe 02 Agosti, 2021 afanya ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini Rwanda kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Paul Kagame.
5). Rais Samia tarehe 16 Agosti, 2021 aelekea nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utakaofanyika kuanzia tarehe 17 – 18 Agosti, 2021.
6). Rais Samia Tarehe 24 Agosti, 2021 aelekea nchini Zambia kuhudhuria sherehe za kuapishwa Kwa Rais Mteule wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema.
7). Rais Samia tarehe 18 Septemba, 2021 aondoka nchini kuelekea New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo.
8). Rais Samia tarehe 30 Oktoba, 2021 aelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za mabadiliko ya tabianchi (COP 26).
9). Rais Samia tarehe 10 Novemba, 2021 aelekea Cairo nchini Misri kwa ziara ya Kiserikali ya siku tatu.
10). Rais Samia tarehe Januari 28, 2022, atembelea Msumbiji. Akiwa Pemba-Msumbiji, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu ameeleza kuwa lengo ya ziara hiyo ni kudumisha Diplomasia kati ya nchi hizo mbili.
11). Rais Samia afanya ziara ya Kikazi Nchini Ufaransa na Ubelgiji kuanzia tarehe 09-19 Februari 2022.
12). Rais Samia Februari 24, 2022 aelekea Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kushiriki maonyesho ya Expo 2020
13). Rais Samia Aprili 13, 2022 aenda Marekani kwa ziara ya kikazi. Pamoja na mambo mengine anatarajiwa kushiriki uzinduzi wa filamu ya ‘Tanzania Royal Tour’ itakayozinduliwa Aprili 18, 2022 jijini New York. Alikaa siku 8
14). Rais Samia 10 May 2022 afanya ziara ya Kiserikali nchini Uganda kwa siku mbili
15). Rais Samia 23 Mei 2022 ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo
16). Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili Muscat nchini Oman kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu tarehe 12 Juni, 2022
17). Leo tarehe 06 Julai, 2022 Rais Samia aelekea Dakar Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)"
18). Rais Samia 16 Agost 2022, aondoka Nchini kwenda DR Congo kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
19. Septemba 17, Rais Samia
alifika Uingereza ili kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II yaliyopangwa kufanyika September 19. Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II
Watapatikana wengineSafi sana ila kutumia usafiri wa pamoja hapo ikiwa ni ajali tutapoteza viongozi kwa pamoja.
Hivi kutoka Ikulu hadi Bungeni kwahitaji msafara?Safi sana ila kutumia usafiri wa pamoja hapo ikiwa ni ajali tutapoteza viongozi kwa pamoja.
Tuombee viongozi wapuuzi wafe kwa pamojaSafi sana ila kutumia usafiri wa pamoja hapo ikiwa ni ajali tutapoteza viongozi kwa pamoja
Ila hawa washazoea, hawana misafara mingiSomo wameshapewa Tena na matajili wenye kila kitu.
Hizo V8 kwanza ziuzwe zote watumie Land cruiser GX zinawatosha na wengine watumie Toyota Rav 4J.
View attachment 2362435View attachment 2362436
Sasa hiyo ni roho mbayaKubana matumzi pia wabunge wakatwe kodi na kupunguza posho ya vikao kwenye bunge vikao vinavyochukua m,uda mrefu mfano bunge la bajeti ni karibu miezi minne badala ya kulipwa 300k walipwe 150k tu na mafuta wasiwekewe maana wanaishi pale pale.
Watamuuzia nani madude ya m500, Sana Sana watajiuzia wenyewe KWa m 10 wakisema ni chakavuSomo wameshapewa Tena na matajili wenye kila kitu.
Hizo V8 kwanza ziuzwe zote watumie Land cruiser GX zinawatosha na wengine watumie Toyota Rav 4J.
View attachment 2362435View attachment 2362436
Wakibana matumizi, biashara nazo zinakufaKama serikali ikibana matumizi kwa kumaanisha maisha yatapungua makali kwa kiasi kikubwa kwetu sisi wananchi wa kawaida, wafute baadhi ya vyeo visivyokua na maana
Umeanza ramli zakoHana haki yakusema watu wabane matumizi while yeye ndio mtumiaji namba moja. Days are numbered we know
🤣🤣🤣🤣🤣Naam kuanzia sasa msafara wa Rais uwe unatumia mabasi ya Esther
Hata uso wake haukushabihiana na matamshi yake, hata ainisho la ubanaji bajeti amefanya mzaha hajaweka bayana maeneo muhimu yanayobeba pesa nyingi mfano ununuzi wa magari, na etc., He hasn't been that serious. Too much reading ndio usomi gani huo?Waziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake.
Source: TBC