amejifunza kutokana na msiba wa Malkia Magreth II jinsi viongozi walivyosafirishwa kwenye mabasi?Waziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake.
Source: TBC
Na botswana ni nchi iliyendelea si kama tanzania.kanchi kadogo lkn kama sera bora kabisa.wabotswana wengi wamesoma hapa tz pia kuna watz wengi wanafanya kazi kule karibu ktk kila idara wapo.Nimekaa botswana , gari za serikali mitaani ni za kuzitafuta sana ,
Hapa kwetu Vxr R , 400plus millions umalikuta linazagaa tu kizembe , halafu tunabanana kwenye tozo.
Wabane marumizi kwenye kuchukua mikopo yenye riba kubwa ambazo mwisho wa siku tozo zote zinazokusanywa zinaishia kulipa mariba matupuWaziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake.
Source: TBC
Kwani ni jukumu la wananchi kunywesha chai watumishi, chai si unywe kwa mkeo?Lini chai na vitafunwa vilikuwepo kwa watumishi, labda nyie mnaotumia viieite. Jibaneni wenyewe huko, wengine hiyo chai na vitafunwa hatujawahi kuviona na hizo safari za ndani na nje mnazo nyie wapanda viieite.
Hii ni danganya totoWaziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina.
Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake.
Source: TBC
Ni aibu sana. Halafu nasikia kanunuliwa VX mpya... Seriously.Mkuu hata mimi nashanga sana, kweli Waziri wa Fedha anatafuta vyanzo vya mapato ya Serikali Kuu kupitia gharama za chai na vitafinwa kutoka ofisi za Umaa? Sasa Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa zatapataTUJITAFAKARI
Wafanyakazi ndiyo walikuwa wanajichanga nyuma ya pazia ili nyie mnao wasaidia muweze kupata hata motosha kidogo.Mmmh we ndio nina walakini na ww, mm nilifanya field nssf shinyanga, chai ilikuwa ni juu ya ofisi. Hakuna aliekuwa ananunua kwa pesa yake