Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema dhamira ya Serikali ya awamu ya 8 ni kukuza uchumi katika Nyanja zote ili kuwapa vizuri wafanyakazi wake .
Hayo ameyasema leo wakati akizungumza na wafanyakazi huko katika ukumbi wa Shehe Idrisa Abdul wakili Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Dkt. Hussein amesema katika uongozi wake atajenga mawasiliano baina yake na wafanyakazi wote ili kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi.
“kuweni na imani na matumaini makubwa na mimi kwani nina nia njema na Zanzibar na kila siku namuomba Mungu anisaidie kwa hili na nitatimiza ahadi yangu kwenu kwani ahadi ni deni “
Aidha Dkt. Huseein amesema hatakuwa na muhali wala huruma kwa wabadhirifu na walarushwa katika Serikali yake na atahakikiha kila mtu atakaemchagua anawajibika na kutimiza majukumu yao ipasavyo.
Hata hivyo mgombea huyo amewakata wafanyakazi hao kukichagua chama cha mapinduzi CCM katika ngazi zote ili atekeze ahadi alizowaahidi.
Hayo ameyasema leo wakati akizungumza na wafanyakazi huko katika ukumbi wa Shehe Idrisa Abdul wakili Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Dkt. Hussein amesema katika uongozi wake atajenga mawasiliano baina yake na wafanyakazi wote ili kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi.
“kuweni na imani na matumaini makubwa na mimi kwani nina nia njema na Zanzibar na kila siku namuomba Mungu anisaidie kwa hili na nitatimiza ahadi yangu kwenu kwani ahadi ni deni “
Aidha Dkt. Huseein amesema hatakuwa na muhali wala huruma kwa wabadhirifu na walarushwa katika Serikali yake na atahakikiha kila mtu atakaemchagua anawajibika na kutimiza majukumu yao ipasavyo.
Hata hivyo mgombea huyo amewakata wafanyakazi hao kukichagua chama cha mapinduzi CCM katika ngazi zote ili atekeze ahadi alizowaahidi.