Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Dr.Hussein Mwinyi hana skendo,endelea kuzitafuta ukizipata kisha uzilete hapa kwa fact na ushahidi.
Hata hao waliomtangulia walikuwa hivyo hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr.Hussein Mwinyi hana skendo,endelea kuzitafuta ukizipata kisha uzilete hapa kwa fact na ushahidi.
Ukizipata za Dr.Hussein Mwinyi zitupie hapa kwa ushahidi.Hata hao waliomtangulia walikuwa hivyo hivyo
Zilete hapa kwa fact na ushagidi.Yeye ndiye anayempigia kampeni mwanawe wanaelewana pengine
Ukizipata za Dr.Hussein Mwinyi zitupie hapa kwa ushahidi.
Zitafute skendo za Dr.Hussein Mwinyi kisha uzilete kwa fact na ushahidi.Humo alimo CCM si mumejaa scandal na yeye akiwa waziri wa ulinzi . Hivi ule uchaguzi uliopita na wale wanajeshi waliovamia kituo cha ZEC walikuwa wa wapi ?
Kamwe hutakuwa Rais wa Zanzibar.Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema dhamira ya Serikali ya awamu ya 8 ni kukuza uchumi katika Nyanja zote ili kuwapa vizuri wafanyakazi wake .
Hayo ameyasema leo wakati akizungumza na wafanyakazi huko katika ukumbi wa Shehe Idrisa Abdul wakili Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Dkt. Hussein amesema katika uongozi wake atajenga mawasiliano baina yake na wafanyakazi wote ili kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi.
“kuweni na imani na matumaini makubwa na mimi kwani nina nia njema na Zanzibar na kila siku namuomba Mungu anisaidie kwa hili na nitatimiza ahadi yangu kwenu kwani ahadi ni deni “
Aidha Dkt. Huseein amesema hatakuwa na muhali wala huruma kwa wabadhirifu na walarushwa katika Serikali yake na atahakikiha kila mtu atakaemchagua anawajibika na kutimiza majukumu yao ipasavyo.
Hata hivyo mgombea huyo amewakata wafanyakazi hao kukichagua chama cha mapinduzi CCM katika ngazi zote ili atekeze ahadi alizowaahidi.
Zitafute skendo za Dr.Hussein Mwinyi kisha uzilete kwa fact na ushahidi.
YUKO KWA SHETANI HUKO ANACHOMWA MOTOOOMwenye ile video clip inamuonesha mama wa Kizanzibari anayesema hawawezi kukabidhi nchi kwa sanduku la la kura, aiweke hapa