Zanzibar 2020 Dkt. Mwinyi: Kila nitakayemteua atawajibika kutimiza majukumu yake

Ukizipata za Dr.Hussein Mwinyi zitupie hapa kwa ushahidi.

Humo alimo CCM si mumejaa scandal na yeye akiwa waziri wa ulinzi . Hivi ule uchaguzi uliopita na wale wanajeshi waliovamia kituo cha ZEC walikuwa wa wapi ?
 
Humo alimo CCM si mumejaa scandal na yeye akiwa waziri wa ulinzi . Hivi ule uchaguzi uliopita na wale wanajeshi waliovamia kituo cha ZEC walikuwa wa wapi ?
Zitafute skendo za Dr.Hussein Mwinyi kisha uzilete kwa fact na ushahidi.
 
Kamwe hutakuwa Rais wa Zanzibar.
 
Sawa raisi wa kuteuliwa, tumekusikia.
Ngumu sana kuwajibisha mibuyu ya Chama.

Everyday is Saturday................................😎
 
Zitafute skendo za Dr.Hussein Mwinyi kisha uzilete kwa fact na ushahidi.

Hivi ule uchaguzi uliopita na wale wanajeshi waliovamia kituo cha ZEC walikuwa wa wapi ? Yeye akiwa nani wakati huo ??
 
kaongea na wafanyakazi kama nani? wafanyakazi wa wapi? heeee jamaniiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…