Dkt. Myles Munroe: Dini siyo suluhu ya matatizo ya binadamu

Dkt. Myles Munroe: Dini siyo suluhu ya matatizo ya binadamu

dini ni nzuri ila zinahitaji marekebisho kulingana na wakati tulio nao.
 
Huyu ni dr myles munroe

Anaelezea madudu yaliyofanywa na dini.
Ukristu na Uislam.

Watu wenye dini ndio waovu kuliko viumbe wote dunian


View: https://youtu.be/rJvQ-eGOhkw?si=L9GSvl1Hhn1GfmXi

ni sahihi, dini haijawahi kuokoa roho, pamoja na kwamba, as a matter of fact, ni ya muhimu kwa mambo ya kidunia kama ushirika na wenzako, kusaidiana katika matatizo, na kutukumbuka kufanya mema, ni platform tu ya kutukumbusha kufanya hivyo. however, hata kama tukikumbushwa hatuwezi kuishinda dhambi bila kuwezeshwa na Nguvu za Mungu, dini peke yake kama mfumo uliowekwa na wanadamu namna ya kumwendea Mungu haiwezi kukuokoa. Unahitaji personal relationship with God, a very personal one.

kwa wale ambao bado, unatakiwa kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, uokoke manake, na umwombe Mungu akupe Roho Mtakatifu akusaidie katika maombi na kukuongoza kuishinda dhambi. Hii ni kwasababu, hata kama tunakuwa na dini, lakini hatufuati dini basi Neno la Mungu, Neno la Mungu kwanza na mapokeo ya dini baadaye kama yanaendana na Neno.

kwenu ninyi mnaoamini kuondoka kwenye dini moja ni dhambi, jueni kuwa hata Mungu hizo dini zenu hazitambui, anamtambua Yesu Kristo tu kama kafara, mfano, wewe mkatoliki tukisema okoka hiyo dini ya ukatoliki haiokoi ila Yesu anaokoa, au wewe mlutheran, mumorovian au angalican au muislam, tukisema acheni kufuat amapokeo ya wanadamu yasiyo ndani ya Neno la Mungu, msifikiri kuiacha dini yenu ni dhambi, hapana, dini haimfikishi mtu mbinguni, ila Wokovu ndani ya Yesu Kristo.

hata walokole (ambako mimi nipo TAG, EAGT, PENTECOSTS n.k), kama upo huku lakini matendo yako ni machafu usifikiri kuwepo ndani ya dini kutakuokoa, never. Mungu anaangalia roho, na hadanganyiki.
 
Ukisoma vizuri kitabu (biblia) waliotumwa (mitume na manabii) au mwenye haki ndie alikuwa mbolea ya waovu (daniel 7:21, ufunuo 5:6).

Majira saba zilizopita kosa la mwenye haki lilitumika kuimarisha au kuneemesha dunia,ndo maana kayafa akasema heri mmoja afe (mwenye haki) kwa ajili ya wengi.

Kupitia anguko la kerubi (ezekieli 28:13-18) aliyeumbwa mtakatifu akapewa mlima na bustani ya madini na kiti cha kumsifu Muumba, alipoanguka ndipo vise versa ikatokea miziki ya kusifu dunia na ulimwengu. Na kila anayetaka madini lazima amsujudie nyoka kwa kafara au namna yeyote ndipo apate madini.

Baada ya kosa la nuhu la kulewa na kulaani watoto ndipo macasino yakazaliwa hapo. NK
 
ni sahihi, dini haijawahi kuokoa roho, pamoja na kwamba, as a matter of fact, ni ya muhimu kwa mambo ya kidunia kama ushirika na wenzako, kusaidiana katika matatizo, na kutukumbuka kufanya mema, ni platform tu ya kutukumbusha kufanya hivyo. however, hata kama tukikumbushwa hatuwezi kuishinda dhambi bila kuwezeshwa na Nguvu za Mungu, dini peke yake kama mfumo uliowekwa na wanadamu namna ya kumwendea Mungu haiwezi kukuokoa. Unahitaji personal relationship with God, a very personal one.

kwa wale ambao bado, unatakiwa kumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, uokoke manake, na umwombe Mungu akupe Roho Mtakatifu akusaidie katika maombi na kukuongoza kuishinda dhambi. Hii ni kwasababu, hata kama tunakuwa na dini, lakini hatufuati dini basi Neno la Mungu, Neno la Mungu kwanza na mapokeo ya dini baadaye kama yanaendana na Neno.

kwenu ninyi mnaoamini kuondoka kwenye dini moja ni dhambi, jueni kuwa hata Mungu hizo dini zenu hazitambui, anamtambua Yesu Kristo tu kama kafara, mfano, wewe mkatoliki tukisema okoka hiyo dini ya ukatoliki haiokoi ila Yesu anaokoa, au wewe mlutheran, mumorovian au angalican au muislam, tukisema acheni kufuat amapokeo ya wanadamu yasiyo ndani ya Neno la Mungu, msifikiri kuiacha dini yenu ni dhambi, hapana, dini haimfikishi mtu mbinguni, ila Wokovu ndani ya Yesu Kristo.

hata walokole (ambako mimi nipo TAG, EAGT, PENTECOSTS n.k), kama upo huku lakini matendo yako ni machafu usifikiri kuwepo ndani ya dini kutakuokoa, never. Mungu anaangalia roho, na hadanganyiki.
Kwenye kukumbusha kufanya Mema Sheria za Nchi ni bora kuliko Dini.
 
Kwenye kukumbusha kufanya Mema Sheria za Nchi ni bora kuliko Dini.
sheria za nchi ni za wanadamu, haziokoi roho, na hata sheria za nchi ni Mungu anatusaidia, zingekuwa zinasaidia magereza yangekuwa meupe, askari magereza wangekosa kazi, polisi wangekosa kazi, wanasheria wangelala njaa, mahakimu na majaji wangekosa kazi. hazisaidii ndio maana ukienda mahakamani kuko busy asubuhi hadi jioni. Sheria ya Mungu, kwa maana ya Sheria ya rohoni ndio inaokoa na kufanya mtu abadilike kabisa.

sheria za dunia, mfano kwa nchi zingine kama south, ni chafu, chukulia mfano sheria za nchiz inazoruhusu ushoga, na unalazimishwa uziheshiimu. just think about that.
 
Kuna mengi sana ndugu, kiufupi nguvu za giza ni nguvu za muumba alizoachia kwa waliotumwa (mitume na manabii) zilipoibiwa zikageuzwa kinyume nae.

Mfano Adamu alipoumbwa alipewa nguvu ya kulima na kutunza alipoanguka zikaibiwa ndo maana hadi leo kuna wanaolima kwa mazindiko (hao wanatumia nguvu za Adam)
 
Back
Top Bottom