Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahahaa nguvu za kilimo zikaenda kwa Ibilisi?Kuna mengi sana ndugu, kiufupi nguvu za giza ni nguvu za muumba alizoachia kwa waliotumwa (mitume na manabii) zilipoibiwa zikageuzwa kinyume nae.
Mfano Adamu alipoumbwa alipewa nguvu ya kulima na kutunza alipoanguka zikaibiwa ndo maana hadi leo kuna wanaolima kwa mazindiko (hao wanatumia nguvu za Adam)