Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahahaa nguvu za kilimo zikaenda kwa Ibilisi?Kuna mengi sana ndugu, kiufupi nguvu za giza ni nguvu za muumba alizoachia kwa waliotumwa (mitume na manabii) zilipoibiwa zikageuzwa kinyume nae.
Mfano Adamu alipoumbwa alipewa nguvu ya kulima na kutunza alipoanguka zikaibiwa ndo maana hadi leo kuna wanaolima kwa mazindiko (hao wanatumia nguvu za Adam)
Who is that?Nampenda Myles. Huwa nasikitikakwamba nimeanza kumjua na kumfuatilia akiwa tayar ameshakufa. Namsikiliza sana haiwez pita siku .
Na hata leo nimenunua kitabu chake chenye title ya "DISCOVER YOUR POTTENTIAL".
Kwa mtu mwenye mahaba ya DINI (yoyote) hawez kumkubali Myles Monroe
Sio kilimo tu, hujasoma (luka 4:5-7) ibilisi akimtambia Yesu uumbaji wote ni miliki yake amsujudie ampe na Yesu hakubisha sababu ni kweli uumbaji ulikuwa kwenye uteka either unajua ama hujui.Hahahaa nguvu za kilimo zikaenda kwa Ibilisi?
Dr. Myles MunroeWho is that?
Hao wako kwene kichaa cha diniNampenda Myles. Huwa nasikitikakwamba nimeanza kumjua na kumfuatilia akiwa tayar ameshakufa. Namsikiliza sana haiwez pita siku .
Na hata leo nimenunua kitabu chake chenye title ya "DISCOVER YOUR POTTENTIAL".
Kwa mtu mwenye mahaba ya DINI (yoyote) hawez kumkubali Myles Monroe
yaanDini ndio Chaka la waovu wa kila aina
Afu jamaa kafa kifo kibaya na familia yakeDr. Myles Munroe
ohoooSio kilimo tu, hujasoma (luka 4:5-7) ibilisi akimtambia Yesu uumbaji wote ni miliki yake amsujudie ampe na Yesu hakubisha sababu ni kweli uumbaji ulikuwa kwenye uteka either unajua ama hujui.
Ndo maana Muumba akasema mwisho (1korintho15:24-28) ukifika utakabidhi kwake kila kitu mamlaka,nguvu, ufalme na umiliki, maana sharti amiliki yeye.
Yah, his private jet crush. Ni yeye na mkewe i think pamoja and his subordnate ministers of the church.Afu jamaa kafa kifo kibaya na familia yake
marekebisho yapi unayotaka wewedini ni nzuri ila zinahitaji marekebisho kulingana na wakati tulio nao.