Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: CCM ikitikisika hakuna Tanzania madhubuti

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: CCM ikitikisika hakuna Tanzania madhubuti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amesema maneno ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bado yanaishi ya kwamba CCM ikitikisika hakutokuwa na Nchi madhubuti na hivyo amewataka kila Mtanzania moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi unamtegeme.

Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”

“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"

My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?

Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.

View: https://www.instagram.com/p/C7lbT2LKGuX/?igsh=MTJpNmxkcDc5N3Zsdg==
 
Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amesema maneno ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bado yanaishi ya kwamba CCM ikitikisika hakutokuwa na Nchi madhubuti na hivyo amewataka kila Mtanzania moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi unamtegeme.

Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”

“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"

===

My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?

Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.
Mimi nakumbuka maneno ya pinda mafisadi wakikamatwa nchi itatingishika yalikuwa na maana kubwa kuliko hayo ya ccm imara wakati sio imara inalea majizi humo ndani!
 
Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amesema maneno ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bado yanaishi ya kwamba CCM ikitikisika hakutokuwa na Nchi madhubuti na hivyo amewataka kila Mtanzania moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi unamtegeme.

Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”

“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"

My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?

Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.

View: https://www.instagram.com/p/C7lbT2LKGuX/?igsh=MTJpNmxkcDc5N3Zsdg==

Bwahaaa bwahaaa😂😂, nimecheka kwa nguvu vibaya sana. Wakenya wakisikiaga hizi porojo wananchi wanaambiwa na baadhi wanaziamini, huwa wanatuoma mazombie kishenzi. Maana enzi za KANU walikuwa wanalishwa hofu hii hii. Leo hii KANU Iko mortuary, na Kenya ina uchumi mzuri kuliko wetu!
 
CHADEMA ni mwendo wa kuhongana Makreti ya Bia tu. Wangepewa nchi wangeiuza kwa Bia tu na kusaini mikataba wakiwa na vimiminika kichwani .
Ni kipi kimebaki ambacho cdm watakuja kuuza? Maana bandari, gas, mbuga, madini yote mmeshauza, Sasa kipi kimebaki Cha kuja kuuzwa na cdm? Au watauuza mwenge wa uhuru?
 
Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amesema maneno ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bado yanaishi ya kwamba CCM ikitikisika hakutokuwa na Nchi madhubuti na hivyo amewataka kila Mtanzania moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi unamtegeme.

Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”

“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"

My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?

Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.

View: https://www.instagram.com/p/C7lbT2LKGuX/?igsh=MTJpNmxkcDc5N3Zsdg==

Comrade nchimbi!

Mimi nimekuelewa tofauti"CCM ikitikisika hakuna Tanzania imara"

Sasa kwani imetikisika!?inatikisika!?IPO mbioni kutikisika!!?

Yaani sisi wanachama unatuambiaje hasa!!?kwamba CCM Ina mtikisiko!!?kama Ina mtikisiko je Tanzania imara haipo!!?

Yaani hapo unaeleza mtikisiko uliopo na Tanzania imara haipo !!?au ipo kukiwa na mtikisiko tayari!!?

Jana Luhaga mpina anatetea mapinduzi ya nchi jirani!Sasa je no kusema mtikisiko ndani ya CCM utasababisha mapinduzi kama ya nchi jirani!!?

Najiuliza !kauli zenu zinatuumiza sisi wadadisi Huku vijijini tulipo!

Halafu na Ally hapi nae anasema eti"nchi IPO salama mikononi mwa samiah"kwani usalama was nchi yetu uliteterejKa lini !!?Hadi kwasasanchi ionekane IPO Salama mikononi mwake !!?au haipo salama ndio maana anasisitiza!!?

Naongezea hili;-

"Wakati wanajeshi wakilinda mipaka ya nchi yetu,wanasiasa walipaswa kulinda rasilimali zetu,je ulinzi wa rasilimali zetu unaridhisha mpaka Sasa"!!!?

Napost !hebu someni!
 
Ccm haijaleta maendeleo walioleta maendeleo ni watanzania wote vinginevyo tuwaulize hawa TRA wanatafuta nini huku kwenye maduka yetu? Si waende kwenye maduka ya ccm
Uko sahihi kabisa Watanzania Wana CCM wameunda Serikali Ili ilete maendeleo.

CCM ni kama mzazi wako haikwepeki
 
Comrade nchimbi!

Mimi nimekuelewa tofauti"CCM ikitikisika hakuna Tanzania imara"

Sasa kwani imetikisika!?inatikisika!?IPO mbioni kutikisika!!?

Yaani sisi wanachama unatuambiaje hasa!!?kwamba CCM Ina mtikisiko!!?kama Ina mtikisiko je Tanzania imara haipo!!?

Yaani hapo unaeleza mtikisiko uliopo na Tanzania imara haipo !!?au ipo kukiwa na mtikisiko tayari!!?

Jana Luhaga mpina anatetea mapinduzi ya nchi jirani!Sasa je no kusema mtikisiko ndani ya CCM utasababisha mapinduzi kama ya nchi jirani!!?

Najiuliza !kauli zenu zinatuumiza sisi wadadisi Huku vijijini tulipo!

Halafu na Ally hapi nae anasema eti"nchi IPO salama mikononi mwa samiah"kwani usalama was nchi yetu uliteterejKa lini !!?Hadi kwasasanchi ionekane IPO Salama mikononi mwake !!?au haipo salama ndio maana anasisitiza!!?

Naongezea hili;-

"Wakati wanajeshi wakilinda mipaka ya nchi yetu,wanasiasa walipaswa kulinda rasilimali zetu,je ulinzi wa rasilimali zetu unaridhisha mpaka Sasa"!!!?

Napost !hebu someni!
CCM Ina watu wa Kila sampuli so Mpina mmja hawezi itikisa CCM
 
Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amesema maneno ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bado yanaishi ya kwamba CCM ikitikisika hakutokuwa na Nchi madhubuti na hivyo amewataka kila Mtanzania moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi unamtegeme.

Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”

“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"

My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?

Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.

View: https://www.instagram.com/p/C7lbT2LKGuX/?igsh=MTJpNmxkcDc5N3Zsdg==

Halafu we comrade !

Hayo maneno ya nchimbi sio ya iuwananga chadema Bali ni tafakuri kwetu sisi!!

Je wananchi wanawapenda viongozi was CCM!!?

Viongozi hawa waliochunguzwa na ripoti ya CAG wakaonekana no wabadhirifu!!?je sisi wanaccm tutawalinda viongozi wabadhirifu Hadi lini!!?

Tafakurikwetu kuhusu hicho alichosema nchimbi ni ipi!!?wezi walipo ndani ya chama na wabadhirifu waliopo hawifanyi CCM kuwa takatifu mbele ya chadema!!tushughulike ndani ya chama kuwaondoa wezi na kuwafunga!!
 
CHADEMA ni mwendo wa kuhongana Makreti ya Bia tu. Wangepewa nchi wangeiuza kwa Bia tu na kusaini mikataba wakiwa na vimiminika kichwani .
Choise na Luca tunasubirini na nyie mapokezi yenu pale gereji baada ya uchaguzi kupita kwa nafasi kama za wale wageni wa gereji wakiibuka gerezani,na wengine mapangoni hadi kwa mjengo,tunathamini story zenu na kazi kubwa mnayofanya ya uzushi😁
 
Ndiyo ujinga ulioganda kwenye vichwa vingi vya wa-CCM.Wanaamini bila wao nchi haipo.Dhana ya kijinga utadhani wao ndiyo waliumba nchi.Kwamba ikitokea wamekufa CCM wote nchi itabubujikwa na machozi.Good for nothing!
 
Back
Top Bottom