ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amesema maneno ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bado yanaishi ya kwamba CCM ikitikisika hakutokuwa na Nchi madhubuti na hivyo amewataka kila Mtanzania moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi unamtegeme.
Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”
“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"
My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?
Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.
View: https://www.instagram.com/p/C7lbT2LKGuX/?igsh=MTJpNmxkcDc5N3Zsdg==
Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”
“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"
My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?
Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.
View: https://www.instagram.com/p/C7lbT2LKGuX/?igsh=MTJpNmxkcDc5N3Zsdg==