Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: CCM ikitikisika hakuna Tanzania madhubuti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ripoti ya CAG imewahi taja Majina specific ya wezi? Huwa unafuatilia masuala ya Serikali na mahakama?
Kwahio wenye office husika ni mazombi wasioonekana!!?

Kama office Ina hati chafu mwenye office ndio kafanikisha uchafu wa hati hiyo au we unaonaje!!!

Mnataka ataje wakati office zinajulikana!!?

Mwanasheria mkuu alipaswa kuwashtaki wenye office husika!
 
Wananchi hatuitaki CCM isiojali maslahi ya umma na badala yake kujifanyia ujambazi wa rasilimali na kulindana kwa vyeo na kupuuza katiba ya nchi. Watu wanaiba mambilioni wamekaliwa kimya tu. Mwananchi akipitisha kodi ya mwezi wala hacheleweshwi ni mvua chap mafaini kibao na kufungiwa biashara watatumwa maofisa kama ishirini.

Hio sio CCM aliyoiasisi Mwalimu Nyerere na tunatamani ichanike chanike hata jioni ya leo. Yani hali ilipofikia ukiweka picha ya mbuzi na Mgombea wa CCM watu wanaweza kumpa kura mbuzi 😁
 
Majitu yamelewa uongo wao wenyewe mpaka wanaamini ni ukweli
 
kwa hiyo Bw. Nchimbi sisi wananchi tuvumile jini CCm akiendelea kutukausha damu?? huu uongo kama wa yule jamaa aliyetuambia 'Saddam hussein rais wa Kuwait'.
Wananchi wanahitaji mabadiliko hakuna litakalowarudisha nyuma.
 
CCM imara iliondoka na Nyerere! CCM iliyopo ni legelege sema inabebwa na kushikiliwa na
 
Maendeleo gani unayoona ccm imeleta? Kwanza ushahidi wa kuwa chama hicho kimeshafilisika ni hiyo habari hapo ya kutaja serikali ya fulani na ya awamu fulani. Ukiona hivyo ujue walishajua wananchi wamewakataa ndio maana huoni ikitajwa serikali ya watanzania kwa sababu hata wao wanajua watanzania katika wingi wao hawakuichagua ccm.
 
Kwanza Hakuna baba wa taifa,Kuna baba wa mbinguni,Pili bila CCM Tanganyika ingekua Mahala Bora maradufu zaidi ya hapa
 
Kiufupi Chadema sio tuu wajinga Bali ni wapuuzi ndio maana mnahubiri ubaguzi
Wewe nawe uache kupayuka. Nchimbi kaongelea CCM wewe unawaza CHADEMA. CHADEMA wametumia wanafanya chaguzi zao. Nyie endeleeni kubwabwaja.
 
Wewe nawe uache kupayuka. Nchimbi kaongelea CCM wewe unawaza CHADEMA. CHADEMA wametumia wanafanya chaguzi zao. Nyie endeleeni kubwabwaja.
Bwaaaa bwaaaaa ila Chadema ni looser na hopeless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…