Mbaguzi huwa hajitabui ila kwa vipimo vya ubaguzi binafsi umefikia viwango vya juu mnoo🤑Kiufupi Chadema sio tuu wajinga Bali ni wapuuzi ndio maana mnahubiri ubaguzi
Kwahio wenye office husika ni mazombi wasioonekana!!?Ripoti ya CAG imewahi taja Majina specific ya wezi? Huwa unafuatilia masuala ya Serikali na mahakama?
Majitu yamelewa uongo wao wenyewe mpaka wanaamini ni ukweliKatibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amesema maneno ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere bado yanaishi ya kwamba CCM ikitikisika hakutokuwa na Nchi madhubuti na hivyo amewataka kila Mtanzania moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi unamtegeme.
Akiongea Mkoani Singida leo May 30,2024, Nchimbi amesema “Maneno ya Baba wa Taifa bado yanaishi, CCM ikitikisika hatuna Nchi madhubuti, kila mmoja wenu moyoni mwake asikie kwamba uimara na umadhubuti wa Nchi yetu unamtegemea”
“Kila Mtu akijisikia hivyo kila Mtu atatimiza wajibu wake, tuwapende Watu kwa dhati na Watanzania wajue Viongozi wa CCM wanawapenda na wapo tayari kuwatumikia, Watanzania wakijua hivyo wataendelea kuichagua CCM"
My Take
Naunga mkono hoja ya Dr.Nchimbi kwani tumeona Vurugu, ngumu na Rushwa zilivyorindima kwenye chaguzi za Vyama maslahi kiasi kwamba unajiuliza Hawa wakipewa Nchi itakuaje?
Hakuna Taifa bila CCM. Kazi iendelee.
View: https://www.instagram.com/p/C7lbT2LKGuX/?igsh=MTJpNmxkcDc5N3Zsdg==
Maendeleo gani unayoona ccm imeleta? Kwanza ushahidi wa kuwa chama hicho kimeshafilisika ni hiyo habari hapo ya kutaja serikali ya fulani na ya awamu fulani. Ukiona hivyo ujue walishajua wananchi wamewakataa ndio maana huoni ikitajwa serikali ya watanzania kwa sababu hata wao wanajua watanzania katika wingi wao hawakuichagua ccm.Walioishiwa hoja ni CCM au Wapinzani wanaoongea ubaguzi?
Pili maendeleo unayoyaona Leo kimeleta chama gani? 😆😆😆
Au kwako maendeleo ni tofauti na hiki hapa 👇
View: https://www.instagram.com/p/C7nvXn-CCD_/?igsh=MXdiOXRwaGV4bzg3OA==
Tunaomba CCM itikisike ili tupate Tanzania mpya kuliko hii ya machawa.Ccm imeishiwa hoja. Adui wa kwanza wa maendeleo ya nchi na taifa kwa ujumla ni ccm.
Wewe nawe uache kupayuka. Nchimbi kaongelea CCM wewe unawaza CHADEMA. CHADEMA wametumia wanafanya chaguzi zao. Nyie endeleeni kubwabwaja.Kiufupi Chadema sio tuu wajinga Bali ni wapuuzi ndio maana mnahubiri ubaguzi
Bwaaaa bwaaaaa ila Chadema ni looser na hopelessWewe nawe uache kupayuka. Nchimbi kaongelea CCM wewe unawaza CHADEMA. CHADEMA wametumia wanafanya chaguzi zao. Nyie endeleeni kubwabwaja.