LGE2024 Dkt. Nchimbi kuzindua kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoani Mwanza

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Political Jurist

Senior Member
Joined
Sep 6, 2021
Posts
143
Reaction score
120
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt.Emanuel John Nchimbi atazindua Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mtaa kwa Wagombea wa CCM Mkoani Mwanza tarehe 20 Novemba ,2024 .

 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Emanuel John Nchimbi atazindua Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mtaa kwa Wagombea wa CCM Mkoani Mwanza tarehe 20 Novemba ,2024 .
 
Hovyo kabisa anaenda kufanya nini na wakati hakuna uchaguzi Mchengerwa ameharibu kumlinda mama mkwe wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…