Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukishakuwa chawa, harafu unawaza kwa kutumia tumbo, makamasi, na makalio, haya ndio matokeo yake, ufukara unazidi, huyu kenge anatuambia kuna miujiza ya maendeleo! Kama "maendeleo" Aliyoleta kizmkazi, hayaelezeki kissyansi, ni miujiza tu, basi hizo, ni abracadabra tupu,
Motherfucking ccm
 
Jikite kwenye hoja,mada Iko clear ni swala la wewe kukanusha yamefanyika au Hapana.

Kutukana kunaonesha wewe ni mtu wa hovyo usiye na akili ya kufikiria na ni matumizi mabaya ya mda na akili Kuandika upuuzi unless kama akili zenyewe huna.
 
Ukishakuwa chawa huwezi kutumia akili.

Hivi nchi zote duniani raisi anaabudiwa namna hii? Mbona tunakuwa watu wa namna hii, kusifu kila kitu, hatuwezi kuwa objective hata kidogo.
Kuwa chawa ni kuwa tegemezi kwa huyo anayefanyiwa uchawa! Mtu ambaye akili zake zinafanya kazi vizuri (hana mtindio wa ubongo), hawezi kuwa chawa!
 
Hawezi kukuelewa, chawa ni mdudu asiye na akili.
 
Hamna kitu hapo acha porojo na maneno ya kwenye karatasi. Tushawazoea kwa takwimu zenu za kupika, kukopi na kupaste hamna lolote. 60yrs hakuna la maana mmefanya zaidi ya kuiba kura na rasilimali, huku mkididimiza akili za watanzania wazidi kuwa tegemezi kifikra.
 
Hicho nachokionesha sio kitu? Au kwako kitu kinatakiwa kiwaje? πŸ˜†πŸ˜†

Hapo sio porojo ni video,picha na data au huoni kisa chuki? πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DCvhSPhqxjW/?igsh=MW82cnI5NWozMmt4ag==
 
Mkuu kila wakikuita chawa unakuja na taarifa mpya yenye ujumbe ulioshiba!.

Haya asingeyafanya Samia wangekuja na matusi mengine zaidi ya neno chawa, wanalitumia ikiwa ni mbinu za kujilinda dhidi ya uwezo mkubwa wa SSH.

Hawana cha kusema hivyo wanalitumia neno hilo ukiwa ni mkakati wa kuja na hoja dhidi ya kile kinachofanywa na serikali.
 
Wanatumia neno chawa kama mwamvuli wa kufichia ujinga wao πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DCwJKUwOYg9/?igsh=MXJqbGRwemhjNWFsdQ==
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…