VeroEretico
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 512
- 398
Inawezekana alikuwa mama yake maana si kwa kufanana huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LShida na Chonya of Chilonwa!
L=LY?
View attachment 2140540
Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao.
Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama mapacha. Siku ya harusi ya Ndyanao, kaka yake Patrick alimuimbia mwimbo wa harusi ambao wengi mnaufahamu kama kuolewa’ ni jambo la sifa’.
Katika baadhi ya maneno ya mwimbo huu, yalisikika ‘ Ndyanao saiba’ huyu ndiye Ndyanano. Licha ya kuwa mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Ndyanao ndiye mtunzi wa kitabu cha Shida. Wengi miliki tumia kuji bia mtihani wa Kiswahili kidato cha nne.
Dr Ndyanao Balisidia ni miongoni mwa Tunu za Taifa letu, mama pumzika kwa amani.
Nimesikitika kufahamu hilo. Najishangaa miaka yote nilidhani yuko hai.27 Dec1987
Yah Mkuu alivuta kitambo sana sema Fasihi andishi inamfanya aonekane yuko haiNimesikitika kufahamu hilo. Najishangaa miaka yote nilidhani yuko hai.
Nadhani pia uchache wa vyombo vya habari na uduni wa mawasiliano vilichangia. Mwaka wa 1987 nilikuwa nimeshamaliza form four, na hicho kitabu nilikisoma na kukifanyia mtihani. Ndicho kitabu cha kiswahili nilichosoma na kukirudia mara nyingi kuliko vyote.Yah Mkuu alivuta kitambo sana sema Fasihi andishi inamfanya aonekane yuko hai
Nzuri sanaView attachment 2140540
Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao.
Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama mapacha. Siku ya harusi ya Ndyanao, kaka yake Patrick alimuimbia mwimbo wa harusi ambao wengi mnaufahamu kama kuolewa’ ni jambo la sifa’.
Katika baadhi ya maneno ya mwimbo huu, yalisikika ‘ Ndyanao saiba’ huyu ndiye Ndyanano. Licha ya kuwa mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Ndyanao ndiye mtunzi wa kitabu cha Shida. Wengi miliki tumia kuji bia mtihani wa Kiswahili kidato cha nne.
Dr Ndyanao Balisidia ni miongoni mwa Tunu za Taifa letu, mama pumzika kwa amani.
I am Chonya of Chilonwa me [emoji23][emoji23]Shida na Chonya of Chilonwa!
Bwana mkubwa na wewe unamfaham Frenk Hamphling?basi utakua ni mfatiliaji wa mziki Sana huyu jamaa alikuaga na dadake wanaimba pamoja na walikua wenyeji wa Moshi lakini ni machotala nazani baba alikua mzungu na mama Yao ni mchaga.Watu wengi hawawafaham Mana wamevuma kabla Tanganyika haijapata uhuru .Ila patrick balisidya aliurekebisha wimbo ulioimbwa na frank hamphling wa 1950s unaoitwa nyumbani ameingia tausi
Chama Cha CCM kiliwazulimu Hawa jamaa Mana walipata ajali wakitoka kwenye shughuli ya chama na ilitakiwa walipwe kwa mujibu wa makubaliano lakini Toka enzi za Mkapa hawakulipwa hadi Leo.CCM lipeni fidia za watu kwa Sababu chanzo Cha kifo Cha Patrick Balisidya ni msongo wa mawazo kutokana na mkichomfanyiaga.Ni Moja wa co founder wa Band ya Afro 70, mwaka 1975 walipata accident mbaya sana na vyombo vyao vikaharibika vyote, toka hapo hawakuweza kusimama tena kama Band, akawa kama sole artist.
Alizaliwa Kongwa akasoma sekondari ya Dodoma na baadaye akachaguliwa kwenda DIT baada ya kuliza masomo ya chuo aliendelea maziki baadaye alienda kufanya mziki wake huko Sweden nadhani ndipo mauti ilimkuta.
Alifarika Mwaka 2004.
Mwandishi wa kitabu cha simu ya kifo anaitwa Faraji Katalambula.Hivi Nani alikua mtunzi wa kitabu Cha SIMU YA KIFO Cha akina mzee Jocob, FAMBO, Marry, Kefa, Agnes, Inspeta nani sijui,....kitabu kilivuta hisia sana kile.
Nyerere alitoa ahadi ya kuwapa vifaa na wakapata ,wakaenda navyo Nigeria (kama sikosei)kwenye tamasha la muziki walivyorudi wakanyang'anywa.Chama Cha CCM kiliwazulimu Hawa jamaa Mana walipata ajali wakitoka kwenye shughuli ya chama na ilitakiwa walipwe kwa mujibu wa makubaliano lakini Toka enzi za Mkapa hawakulipwa hadi Leo.CCM lipeni fidia za watu kwa Sababu chanzo Cha kifo Cha Patrick Balisidya ni msongo wa mawazo kutokana na mkichomfanyiaga.
Kazikwa makaburi ya buguruni malapaNi Moja wa co founder wa Band ya Afro 70, mwaka 1975 walipata accident mbaya sana na vyombo vyao vikaharibika vyote, toka hapo hawakuweza kusimama tena kama Band, akawa kama sole artist.
Alizaliwa Kongwa akasoma sekondari ya Dodoma na baadaye akachaguliwa kwenda DIT baada ya kuliza masomo ya chuo aliendelea maziki baadaye alienda kufanya mziki wake huko Sweden nadhani ndipo mauti ilimkuta.
Alifarika Mwaka 2004.
Ok asante kwa taarifa nasikitika sana taarifa ya Msanii.mkubwa hivi tarifa zake unazitafuta kwa tochiKazikwa makaburi ya buguruni malapa
Licha ya kuwa mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Ndyanao ndiye mtunzi wa kitabu cha Shida.