NAWATAFUNA JF-Expert Member Joined Nov 14, 2019 Posts 13,284 Reaction score 24,047 Mar 22, 2022 #41 Kumbeeee,huu wimbo Mr.Paul wa bongo fleva aliwai kuimba kama copy miaka ya 2000s huko.
The Worst JF-Expert Member Joined Sep 12, 2021 Posts 6,108 Reaction score 21,140 Mar 22, 2022 #42 Asante sana kwa historia,miaka yote naisikiliza hii nyimbo nilijua iliimbwa tu kama interest ya msanii kumbe ilikuwa maalumu kwa dada yake. Nimesoma Wikipedia wanasema huyu Dr Ndyanao alifariki kwa cancer early 1987 aged 40.Mungu amlaze pema.
Asante sana kwa historia,miaka yote naisikiliza hii nyimbo nilijua iliimbwa tu kama interest ya msanii kumbe ilikuwa maalumu kwa dada yake. Nimesoma Wikipedia wanasema huyu Dr Ndyanao alifariki kwa cancer early 1987 aged 40.Mungu amlaze pema.
C COPPER JF-Expert Member Joined Dec 28, 2012 Posts 2,368 Reaction score 1,488 Jan 19, 2025 #43 Ni wimbo wenye mapenzi mema kwa hao Ndugu, pia unaishi siku nyingi mbele.