Pre GE2025 Dkt. Nshala alitishiwa maisha sababu ya kupinga Mkataba wa DP World. Uteuzi wake CHADEMA unamaanisha nini kwenye Siasa za Tanzania?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba unahisi ndo anaweza kuwa mgombea urais wa Chadema au umeona nini mkuu!!
Mgombea Urais sidhani, ila ataongeza nguvu kwenye kuiimarisha CHADEMA kuwa bora na yenye nguvu
 

Dr Nshala inawezekana ndiyo Mwanasheria kati ya wachache sana aliye msomi kwenye mambo ya rasilimali kuliko wote Tanzania. Ana PHD kutoka shule bora kabisa Duniani
 
Noma sana, huenda ameuumia sana Mbowe kushindwa bado kamoyo kanachoma
 
Kamati kuu ya Chadema Haina impact yyte ktk nchi hii hao ni nyumbu wanaofanana
Lakini Mama enu jasho linamtoka kwa Lissu kushika usukani! Mwaka huu mtajifunza kitu, Watanzania wa leo sio wa jana🌚🌚
 
Mkuu unaanza kuwa kama Lucas Mwashambwa siku hizi, unaniangusha Mkuu... tema huo unga wa ndele bwana🥹🥹
 
Dr Nshala inawezekana ndiyo Mwanasheria kati ya wachache sana aliye msomi kwenye mambo ya rasilimali kuliko wote Tanzania. Ana PHD kutoka shule bora kabisa Duniani
Mambo yatakuwa moto, ngoja tuone upepo unavyoenda kuelekea 2025
 
Chadema ya Lisu ni kete ya dola inayotumika ku neutralize maamuzi mabovu ya chimwaga hivi majuzi!

Ni rasmi Kwa Sasa Tundu ni Raia namba mbili mwenye ulinzi mkali sana ili afanikishe matakwa ya Dola baada ya mwenyekiti kubagaza matakwa hayo ya Katina mpya!

Tuendelee kusubiri hatma ya mwenyekiti was CCM na maamuzi yake!!
 
Mkuu,
With all due respect, naomba criteria za hiyo tume huru na ya haki itakayosimamia uchaguzi 2025.
 
Wapi imewekwa nongwa Mkuu, ni open discussion, unadhani uteuzi wake utaleta mabadiliko gani CHADEMA na kwenye siasa za TZ kwa ujumla

Afu nimekuaje CCM tena Mkuu?🤔🤔
Tulia mkuu mwenyekiti asuke chama mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…