radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Huyu jamaa anajitahidi sana kukipendezesha kipindi cha michezo cha hii station Efm radio mwanzo nilifikiri wanarekod kisha wanatupia ktk vipindi vyao ndo mana inakuwa rahisi kuigiza sauti ya kihindi sasa walipoanza kutembelea maeneo mbalimbali jiji dar nkajua dkt panju akiulizwa maswali ya papo kwa papo atachemka lakini ajabu amekuwa vizur had ukimuuliza maswali ya papo kwa papo.
Swali langu ni kwa nini panju asijitokeze mana kila jamaa wanapotembea wanakwambia dkt panju atakuwepo ukija muda wa kutaka kumuona haonekani utasikia kajificha tumtafute dkt panju jitokeze watu wakuone.
Huyu dkt panju ya panjuani ni mhindi kweli?
Swali langu ni kwa nini panju asijitokeze mana kila jamaa wanapotembea wanakwambia dkt panju atakuwepo ukija muda wa kutaka kumuona haonekani utasikia kajificha tumtafute dkt panju jitokeze watu wakuone.
Huyu dkt panju ya panjuani ni mhindi kweli?