tunamtakia kila la heri Makamu wetu, ni matumaini yetu kuwa atatuwakilisha vyema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitambulisha dunia kuwa Tanzania bado ipo sanaHiyo ziara ya kizazi ina manufaa gani kwa Taifa?
Siku zote maskini ndiyo anamtembelea tajiri. Rejea ziara za watendaji wa Baba wa taifa (Cleopa Msuya)Mkuu ulitaka aende chato?
Kwenda ni process na kuwasili ni result.Ameenda au amewasili?
Ebu wataalamu wa lugha
mtusaidie,kwenda na kuwasili ipi ni sahihi?
Mbona kama macho yake yamevimba sana!!?avae barakoa asije kuumiza watu huko.
Wacha akatembee kidogo wamuambukize kale kamdudu kalikomsumbua .Koloni lao
Hiki cheo nacho kifutwe kwenye katiba, mbona hakuna Naibu Waziri Mkuu?MAKAMU wa Rais wa JMT, Dk. Philip Mpango, amewasili nchini Ufaransa kwa ajili ya kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye Jukwaa la Kizazi Chenye Usawa (Generation Equality Forum) linalofanyika jijini Paris kuanzia leo Jumatano Juni 30 na kumalizika Julai 2, 2021.
Chanzo: Nipashe
Maza kasandaWacha akatembee kidogo wamuambukize kale kamdudu kalikomsumbua .
Maza mjanja sana 😃
Endelea kunywa maji tuHiyo ziara ya kizazi ina manufaa gani kwa Taifa?
Maza hataki mambo ya kujimwambafai si unacheki siku ametembelea Mwanangamala hospital akaambiwa anaingia ward ya watu wenye matatizo ya kupumua akakimbia zake akawaita wasaidizi eti "nyie tokeni huko, shauri zenu" 😃😃😃😃😃Maza kasanda
VP? Hii inamfaa Jenista Mhagama.
Bado napata na wasiwasi na afya yake...MAKAMU wa Rais wa JMT, Dk. Philip Mpango, amewasili nchini Ufaransa kwa ajili ya kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye Jukwaa la Kizazi Chenye Usawa (Generation Equality Forum) linalofanyika jijini Paris kuanzia leo Jumatano Juni 30 na kumalizika Julai 2, 2021.
Chanzo: Nipashe
Ni suti tu mkuu imekaa vibaya....ha ha haBado napata na wasiwasi na afya yake...
Mbona kama bega moja limeshuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nurses anataka wafe yeye abakiMaza hataki mambo ya kujimwambafai si unacheki siku ametembelea Mwanangamala hospital akaambiwa anaingia ward ya watu wenye matatizo ya kupumua akakimbia zake akawaita wasaidizi eti "nyie tokeni huko, shauri zenu" 😃😃😃😃😃
YapJukwaa la nini si tunataka katiba...mambo ya one man show tumechoka!!
Pamoja na hayo bado kuna pahali hapako sawaNi suti tu mkuu imekaa vibaya....ha ha ha
Duuh, mkuu inaonekana unatamani kweli awe mgonjwa, sio kwa kung'ang'ana huku. Au mwenzetu ni dokta wake?