Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Na Mimi nasema utakufa tu, ndio utakufa, maana hakuna namna, haiwezekani uwe na roho mbaya na Bado uishiFUNZO : UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
AminaNa Mimi nasema utakufa tu, ndio utakufa, maana hakuna namna, haiwezekani uwe na roho mbaya na Bado uishi
Mwana Diplomasia nguli wa Afrika mashariki.
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Alizushiwa SanaMungu kweli ni mwema. Nilikuwa na wasi wasi naye wakati ule alipoumwa sana. Nimefurahi kusikia kuwa Mungu kamjaalia kufika 80. Namwombea maisha marefu.
Alizushiwa SanaMungu kweli ni mwema. Nilikuwa na wasi wasi naye wakati ule alipoumwa sana. Nimefurahi kusikia kuwa Mungu kamjaalia kufika 80. Namwombea maisha marefu.
Laiti nchi yetu, wakati wote ingebahatika kuwapata viongozi wa namna ya Salim Ahmed Salim, hakika, nchi yetu isingekuwa duni kama ilivyo leo.
Kuna nyakati nchi imekuwa inaongozwa na watu ambao ni majambazi, wauaji, watesaji, majizi, majitu yasiyo na weledi wowote kuhusu uchumi. Majitu yanayodhani ukipata madaraka au cheo, kazi yako ni kuswaga watu kama ngiri.
Happy birthday Salim, ujaliwe maisha marefu yenye heri, furaha na amani.
Ngoja tupumzike tulikuwa kwenye uchifu.Kagame amemtakia heri ya kuzaliwa Dr. SalimView attachment 2092744
hizi rumours nimezisikia kwa miaka mingi sasa. hakuna mwenye uhakika nazo.Happy birthday Mzee and rumours has it he is the co owner of the Bakhresa Group of Company
Watanzania wenzake wako kimya , kasoro sisi JF tuKagame amemtakia heri ya kuzaliwa Dr. SalimView attachment 2092744