Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Yesu iliandikwa , hao wengine sijuiYesu Kristu alifariki na miaka 33. Martin Luther King Jr. alifariki na miaka 39, Malcom X alifariki na miaka 39. Rais John F. Kennedy alifariki na miaka 46. Mtume Mohammad S.A.W. alifariki na miaka 61-62. Bila shaka hawa wote walikuwa na visokorokwinyo!!!
Hakika !Hawa ndio watu ambao wakifa miwili Yao ikitembezwa na kuzungushwa nchi nzima sawa tu.
Lkn eti linakufa jitu liuaji libambikiaji kesi, litekaji mnatusumbua barabarani.
Mtu kama Maalim amekufa watu wanaenda kufanya hija alipozikwa huyo ndio muungwana mzalendo na mcha Mungu.
Mlitusumbua sana na aliyefia pale vichochoroni makumbusho/ Mzena
Ukinipa mstari kwenye Biblia Takatifu unaosema Yesu Kristu atafariki akiwa na miaka 33, nitaifuta komenti yangu.Yesu iliandikwa , hao wengine sijui
naye ana roho mbaya , kamfunga kamkomesha, mawazo yamepishana mhimili umeng' olewaNa Mimi nasema utakufa tu, ndio utakufa, maana hakuna namna, haiwezekani uwe na roho mbaya na Bado uishi
Naye hivyo vyo kaanza mapemamapema, kamwogopa kapika kesi "murder was the case that she gave him" .mwingine katoa maoni ake kamsemasema weee mtoto watu, hadi nyani katema bungo, bibi sultani acheniNa Mimi nasema utakufa tu, ndio utakufa, maana hakuna namna, haiwezekani uwe na roho mbaya na Bado uishi
Malumbano ya kidini kwangu muda wake bado , japo tambua kwamba Yesu hakufa kwa CoronaUkinipa mstari kwenye Biblia Takatifu unaosema Yesu Kristu atafariki akiwa na miaka 33, nitaifuta komenti yangu.
Kama Magufuli?View attachment 2092782
Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.
Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.
FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
Ndio tatizo la mtu mpumbavu. Analeta hoja anashindwa kuitetea.Malumbano ya kidini kwangu muda wake bado , japo tambua kwamba Yesu hakufa kwa Corona
Ujumbe huu ni kwa watu wote , ila kama huyo uliyemtaja naye funzo linamhusu basi haya .Kama Magufuli?
Basi sawa .Ndio tatizo la mtu mpumbavu. Analeta hoja anashindwa kuitetea.
Nasikia alikua...... pia. Ila kachoka sana.Happy birthday Mzee and rumours has it he is the co owner of the Bakhresa Group of Company
Wrotenaye ana roho mbaya , kamfunga kamkomesha, mawazo yamepishana mhimili umeng' olewa
Naye hivyo vyo kaanza mapemamapema, kamwogopa kapika kesi "murder was the case that she gave him" .mwingine katoa maoni ake kamsemasema weee mtoto watu, hadi nyani katema bungo, bibi sultani acheni
Now dis one dedicated to the girls demnaye ana roho mbaya , kamfunga kamkomesha, mawazo yamepishana mhimili umeng' olewa
Naye hivyo vyo kaanza mapemamapema, kamwogopa kapika kesi "murder was the case that she gave him" .mwingine katoa maoni ake kamsemasema weee mtoto watu, hadi nyani katema bungo, bibi sultani acheni
Pamoja na yote Dr. Salim akiwa NI mwanadiplomasia nguli hakufanya chochote kusaidia harakati za kuikomboa ZANZIBAR maumivu ya Wazanzibar kutekwa na kuuwawa pamoja na KUNAJISIWA DEMOKRASIA HADHARANI hakuwahipo kusema chochote alipendezwa na UWANA CCM wake hata kuliko visiwa alivyozaliwa cna uhakika kama hata aliewahi kujenga Pemba au hata UngujaView attachment 2092782
Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.
Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.
FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
Hana cha kujibuYesu Kristu alifariki na miaka 33.
Martin Luther King Jr. alifariki na miaka 39, Malcom X alifariki na miaka 39.
Rais John F. Kennedy alifariki na miaka 46.
Mtume Mohammad S.A.W. alifariki na miaka 61-62.
Bila shaka hawa wote walikuwa na visokorokwinyo!!!
Hawezi kujibu hoja nzito.Hana cha kujibu
Wewe jamaa ndo representative wa low minded people.Malumbano ya kidini kwangu muda wake bado , japo tambua kwamba Yesu hakufa kwa Corona
Huwa sihangaiki na ubishi usio na Tija , nimeuliza hao mliowaweka hapo walikufa kwa Corona ? halafu wala sikutaja jina la mtu wenu mwenye visokolokwinyo , kilichowatoa kwenye mapango ni kipi ?Wewe jamaa ndo representative wa low minded people.
Unashindwa kujibu hoja unaleta ushabiki na vioja.
What an embicile,!!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu ,nami najiuliza kwanini ? Twitter kumechafuka wishestangu kuingia kwa mitandao ya kijamii, hii ni mara yangu ya kwanza nashuhudia mtanzania akitumiwa salamu za birthday kutokwa kwa tu prominent wa level za kidunia.
mtanzania huyu sio mwingine, ni mwanadiplomasia nguli dkt salim ahmed salim. wale waliopo twitter nadhani wameshuhudia hili.
happy birthday mzee salim.