Dkt. Salim Ahmed Salim atimiza umri wa miaka 80. Mungu mpe maisha marefu

Yesu iliandikwa , hao wengine sijui
 
Hakika !
 
Na Mimi nasema utakufa tu, ndio utakufa, maana hakuna namna, haiwezekani uwe na roho mbaya na Bado uishi
naye ana roho mbaya , kamfunga kamkomesha, mawazo yamepishana mhimili umeng' olewa
Na Mimi nasema utakufa tu, ndio utakufa, maana hakuna namna, haiwezekani uwe na roho mbaya na Bado uishi
Naye hivyo vyo kaanza mapemamapema, kamwogopa kapika kesi "murder was the case that she gave him" .mwingine katoa maoni ake kamsemasema weee mtoto watu, hadi nyani katema bungo, bibi sultani acheni
 
Kama Magufuli?
 
Murder She
Wrote
Now dis one dedicated to the girls dem
Wid di angel face and the devil heart
Yuh no say ragamuffin Chaka Demus an' youth
Called Pliers come to deal with case
Step up my youth, hear dis!
I know this little girl, her name is Maxine
Her beauty is like a bunch of rose
If I ever tell you 'bout Maxine
Yuh would a say I don't know what I know but
Murder she wrote (fi real, fi real)
Murder she wrote
Murder she wrote
Murder she wrote
Watch ya now, it name
A pretty face and bad character
Dem the kinda livin' can't hold Chaka, follow me!
A pretty face and bad character
Dem the kinda livin' can't hold Chaka
 
Pamoja na yote Dr. Salim akiwa NI mwanadiplomasia nguli hakufanya chochote kusaidia harakati za kuikomboa ZANZIBAR maumivu ya Wazanzibar kutekwa na kuuwawa pamoja na KUNAJISIWA DEMOKRASIA HADHARANI hakuwahipo kusema chochote alipendezwa na UWANA CCM wake hata kuliko visiwa alivyozaliwa cna uhakika kama hata aliewahi kujenga Pemba au hata Unguja
 
tangu kuingia kwa mitandao ya kijamii, hii ni mara yangu ya kwanza nashuhudia mtanzania akitumiwa salamu za birthday kutokwa kwa tu prominent wa level za kidunia.

mtanzania huyu sio mwingine, ni mwanadiplomasia nguli dkt salim ahmed salim. wale waliopo twitter nadhani wameshuhudia hili.

happy birthday mzee salim.
 
Hana cha kujibu
 
Wewe jamaa ndo representative wa low minded people.

Unashindwa kujibu hoja unaleta ushabiki na vioja.

What an embicile,!!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huwa sihangaiki na ubishi usio na Tija , nimeuliza hao mliowaweka hapo walikufa kwa Corona ? halafu wala sikutaja jina la mtu wenu mwenye visokolokwinyo , kilichowatoa kwenye mapango ni kipi ?
 
Kweli mkuu ,nami najiuliza kwanini ? Twitter kumechafuka wishes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…