... Jesus mwondoe kwenye hiyo list tafadhali. Kufa kwake ni kwa sababu alikuwa amekamilisha kazi iliyomleta duniani, and in fact kifo chake ni sehemu ya ukamilifu wa kazi ile adhimu. Hakuna mwanadamu mwingine yeyote wa sifa hizo.Yesu Kristu alifariki na miaka 33.
Martin Luther King Jr. alifariki na miaka 39, Malcom X alifariki na miaka 39.
Rais John F. Kennedy alifariki na miaka 46.
Mtume Mohammad S.A.W. alifariki na miaka 61-62.
Bila shaka hawa wote walikuwa na visokorokwinyo!!!
He is so frail and unrecognizable. Binadamu kweli tumeumbwa tofauti. Mzee Ruksa ana karibia bati lakini ukimuona.View attachment 2092782
Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.
Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.
FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
And the Father of Jiwe's sweet heart AK.Happy birthday Mzee and rumours has it he is the co owner of the Bakhresa Group of Company
Uzi unazungumzia umri na sio mission.... Jesus mwondoe kwenye hiyo list tafadhali. Kufa kwake ni kwa sababu alikuwa amekamilisha kazi iliyomleta duniani, and in fact kifo chake ni sehemu ya ukamilifu wa kazi ile adhimu. Hakuna mwanadamu mwingine yeyote wa sifa hizo.
Yeye ni kama wazee wengine tu, HBD kwa wazee wote mliotimiza miaka 80 leo hii kwa mchango wenu chanya katika ujenzi wa taifa hili.
Contradictions !! Mbona wengine wanasema watu wema hawaishi sana !! Salaalee ! Kila mtu aamini kivyake vyake !!View attachment 2092782
Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.
Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.
FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
Miaka 80 yupo kwenye wheel chair? Anaumwa nini? Hana afya nzuri, pole yake.View attachment 2092782
Leo tarehe 23/01 /2022 Mzee Salim Ahmed Salim anatajwa kutimiza miaka 80 tangu kuzaliwa kwake, hii ni baraka kubwa kwake na kwa familia yake.
Sisi wengine tunamtakia heri ya siku hii mzee wetu huyu ambaye ni miongoni mwa Watanzania wachache WALIOILETEA HESHIMA NCHI YETU.
FUNZO: UKIWA NA ROHO NYEUPE UTAISHI MAISHA MAREFU , BALI UKIWA NA ROHO MBAYA , UKATILI , WIVU NA KISOKOLOKWINYO UTAKUFA MAPEMA TU
Hata mie nime muwish kwenye page yangu πππ.. Ila mzee Ruksa mzee zaidi ya huyu mwamba.. ila kenyewe kanadunda tuu..Kagame amemtakia heri ya kuzaliwa Dr. SalimView attachment 2092744
Nafikiri ujana unatengeza foundation ya uzeeni.. Nimejaribu muangalia mzee mwinyi na huyu. Nafikri ujana wao ulikuwa tofautiMiaka 80 yupo kwenye wheel chair? Anaumwa nini? Hana afya nzuri, pole yake.
πππ na huku anazawadiwa Mercedes Benz S-class na bi.mkubwa.Hata mie nime muwish kwenye page yangu πππ.. Ila mzee Ruksa mzee zaidi ya huyu mwamba.. ila kenyewe kanadunda tuu..
Yule mwingine yeye aliondoka akiwa na miaka 61 tu,hata Bahati ya kutumia wheel chair haikuipata.Miaka 80 yupo kwenye wheel chair? Anaumwa nini? Hana afya nzuri, pole yake.