Dkt. Samizi ashiriki vyema ziara ya waziri mkuu majaliwa, ashiriki upandaji wa michikichi

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
DKT. SAMIZI ASHIRIKI VYEMA ZIARA YA WAZIRI MKUU MAJALIWA, ASHIRIKI UPANDAJI WA MICHIKICHI.

Mbunge wa Muhambwe mkoani Kigoma Mhe Florence George Samizi ameshiriki vyema ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa anayoifanya mkoani Kigoma iliyoanza Septemba 16, 2021.

Katika ziara hiyo ya Waziri Mkuu, Jana Ijumaa Septemba 17, 2021 Mhe Samizi katika Jimbo la Buhigwe alishiriki zoezi la upandaji wa zao la mchikichi ambalo ni moja ya zao la kimkakati mkoani Kigoma mahususi kukabiliana na uhaba wa mafuta.

#KaziInaendelea.







 
UPUUZI MTUPU!!!

 
Dkt Samizi ashiriki....so what? Crap!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…