Dkt. Sebi kielelezo cha Waafrika kukataliwa Tiba zao. Alikufa kifo chenye utata baada ya ugunduzi wa Dawa ya UKIMWI

Anashauri mfungo wa maji, “water fasting”. Yeye anasema alifunga kwa miezi mitatu akinywa maji tu, akapona mazima.
Hapa kwenye maji nakubaliana nae kwa asilimia zote,kwani maji yalitumika kwa tiba hasa kwa kitume na Mola wetu akasema ya kuwa na akajalia kutokana na maji kile kitu kikawa hai.

Naendelea kusoma mada....
 
Kuna kampuni moja USA wanauza Seamos toka Zanzibar very expensive ukitaka nunua hapa tz hawakuuzii mpaka u import toka US. So sad ilihali zanzibar yapo bwerere.
 
Waafrika wenyewe hatujiamini. So sad kuna watu wamekuwa brainwashed anawaona Wazungu watu wa maana hadi kuwatetea watuibie raslimali.
Viongozi ndio wanastahili lawama hizi kama tunavyoona kwenye uviko19
 
Limao au ndimu ndo mchawi wa magonjwa yote.

Thus wanakuhadaa eti linakausha mwili hii ni janja tu ya viwanda vya madawa.
Mimi ni mdau wa limao kishenzi yani.

Mboga yangu ya mlo mmoja sikosi ndimu mbili kytia,raha yani.

Magonjwa ya ajabu ajabu sipati,napenda vitu vichachu vichachu sana
 
Andiko zuri,nikitulia nitakuja kukoment kwa kirefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…