TANZIA Dkt. Shogo Mlozi, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki afariki dunia

Alikuwa bado anazaa tu .Too risk kuzaa at 40+.
Jamani...kuna wakati starehe ikizidi, mambo mengine yoteyanasahaulika. Kuzaa sio tatizo. Wanawake wa siku hizi ndio wanachukulia kubeba mimba ni kama ugonjwa. Wale wa kijinini wanatwanga tu. Mama zetu nao walizaa bila shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…