Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Swali fikirishi je watu wataendelea kunyamaza kwa muda gani, jeHakuna watu wenye roho katili na mbaya kama wtz...
Ila huu ukatili wao wanaofanya unazidi kuwalisha sumu watu
Watazidi kuwa sugu
Ova
Duh...!.habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Mwendazake alianguka sababu ya matendo maovu kama hayaihabari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Wanataka msiwaseme wala kuwabugudhi wanapouza nchi na Kula nchi wao na familia zaoNi wapi nchi inaelekea? Haya mpaka lini? Nani wa kumfunga paka kengele?
wewe utakuwa mpumbavu mwenzie,hivi watu wanaotaka kuua huwa wanataja na siku ya kuua,kama sio ujuha ni ni nini,Mpumbavu wewe . Kama ana evidence asiseme? We shetani mkubwa
sasa hii inaingiaje hapaDr Slaa ndiye aliyeratibu ziara ya baba Mtakatifu Papa Yohane Paul aliyeketi Kitini pake Mtume Petro akishirikiana na serikali wakati wa serikali ya awamu ya 2
Watanzania tutakua kimya ndgu zetu wanatekwa na kuuwawa kihuni hivi mpaka lini?? Hakika hakuna alie salama ni swala la muda tu.habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Wewe huwezi elewa kimaanishwacho 😂sasa hii inaingiaje hapa
haiko kwenye mada wala mtaala
Je ndugu huyu Dr Slaa ameshauona mwili wa Deusdedith Soka? Basi atupe updateUko sawa mkuu 'Stuxnet'. Lakini usisahau pia kwamba polisi hao hao huwa hawasubiri kuzuia maandamano, kwa mfano kwa sababu kama hizo hizo za Slaa. Tena usisahau kuwa huyo anaye semwa kuuwawa tayari katekwa, au hata hilo hulijui?
Siku hizi unanishangaza sana ninapo kusoma humu.
Sielewi kwa nini unaniuliza mimi swali hilo. Kwa nini usiwaulize polisi huyo kijana alipo muda wote huu. Kama kavunja sheria, kwa nini taratibu zinazo fahamika hazifuatwi?Je ndugu huyu Dr Slaa ameshauona mwili wa Deusdedith Soka? Basi atupe update
Mungu msaidie mja wakohabari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Sema jambo mkuu au nishushie zimelink zako nizipitieDuh...!.
P
Pia umejiuliza kwanini Sativa anataja watuhumiwa na hawakamatwi?Mbona kama kuna kamchezo hapa í ½í¹ who is a beneficially ?