KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Leo sio Dr. Mihogo.. ila CDM bwana😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi CCM unajisikiaje taarifa mbaya kama hizi katika utawala wa awamu yenu ya sita!?...habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
anaupiga mwingiHivi CCM unajisikiaje taarifa mbaya kama hizi katika utawala wa awamu yenu ya sita!?...
Kwa kuwa anatoa chronology ya events hadi za mbeleEEEeeeenHeeEeeeeh!
Kwani ilikulazimu kweli kuweka komenti kama hiyo?
Wewe unaichukulia kuwa kama ni mzaha, au siyo?
"Ampate au amfuatilie" wapi sasa? Yeye ni polisi? Hivi polisi wapo kwa kazi gani hasa, kuteka watu?
Magufuli was a murderer, acha kabisa.Kama alivyohusishwa magufuli
Same trend inajirudia. Maana ilikuwa hivi hivi watu wanatoweka so sijaona tofauti naona ni mwendo ule uleMagufuli was a murderer, acha kabisa.
Inaumiza Sana daahNi wapi nchi inaelekea? Haya mpaka lini? Nani wa kumfunga paka kengele?
Ya Magufuli alikuwa anateka mwenyewe na kikundi cha WASIOJULIKANA (Tundu Lissu, Ben Saanane). Ya sasa ni wananchi wenyewe wanatekanaSame trend inajirudia. Maana ilikuwa hivi hivi watu wanatoweka so sijaona tofauti naona ni mwendo ule ule
Assume mtu aliyetekwa ni baba yako au mtoto wako, ungesema hivyo?!Hawa wauaji safari hii hawatafanya makosa kama kwa sativa ni kukata kichwa na kiwiliwili.
Kweli nimeamini kila zama na watetezi wake.Ya Magufuli alikuwa anateka mwenyewe na kikundi cha WASIOJULIKANA (Tundu Lissu, Ben Saanane). Ya sasa ni wananchi wenyewe wanatekana
Haya Polisi wakati wa Magufuli walisemaje kutekwa kwa MoDewji?Kweli nimeamini kila zama na watetezi wake.
Ingelikuwa ni wananchi wanatekana polisi wangeshalifanyia kazi wasingekuwa wanatoa majibu mepesi mepesi same kama kipindi cha magufuli.
Mbinu ni ile ile ni vile aliyepo unamkubali
Hivi unasoma ninachokiandika?Haya Polisi wakati wa Magufuli walisemaje kutekwa kwa MoDewji?
Au ulisikia uchunguzi gani baada ya Lissu kushambuliwa akitoka Bungeni kwenye nyumba za maafisa wa Serikali?
Hili linakuja usiwe na shaka.Wapambane ioneshe sio drama
Hizo za mbele ni zipi tena. Kwamba mtekwa atauliwa? Wewe unaweza kujuwa kuwa hatauawa?Kwa kuwa anatoa chronology ya events hadi za mbele
Tofauti sana. Hivi wakati wa Mwendazake Mbowe angepata hata muda wa kupanda kwenye jukwaa na kuongea kuwa kuna watu wanatekwa?Hivi unasoma ninachokiandika?
Nmekwambia kinachofanyika sasa hivi ni kile kile kilichofanyika kipindi cha magufuli ndio maana polisi majibu yao hayaonyeshi kama wanachukua hatua zozote maana bila shaka wanajua kinachoendelea
Ndiyo hapo sasa. Kama Dr Slaa anajuwa atauawa ina maana ana details zote. Azifikishe Polisi na atoe hizo locations au watu wanaompa taarifaHizo za mbele ni zipi tena. Kwamba mtekwa atauliwa? Wewe unaweza kujuwa kuwa hatauawa?
Uko sawa mkuu 'Stuxnet'. Lakini usisahau pia kwamba polisi hao hao huwa hawasubiri kuzuia maandamano, kwa mfano kwa sababu kama hizo hizo za Slaa. Tena usisahau kuwa huyo anaye semwa kuuwawa tayari katekwa, au hata hilo hulijui?Ndiyo hapo sasa. Kama Dr Slaa anajuwa atauawa ina maana ana details zote. Azifikishe Polisi na atoe hizo locations au watu wanaompa taarifa