utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
Possibly wewe ni miongoni mwa vijana msiojitambua mlio ajiriwa pale Lumumba kwa ajili ya kupost pumba hapa jamvini; Wewe unacho kiangalia ni content au ni spealing ? Check kwanza details zako, ndo twende sawa;
Join Date : 17th April 2013
Posts : 53
Rep Power : 312
Likes Received3
Likes Given2
You seem to be too desperate for power!!
Uongozi mwanana wa kuongoza jamii unakuja automatically kwa mapenzi ya waongozwa. Mwl. Nyerere alisema kiongozi mzuri ni yule asiyetaka kuongoza. Ninyi kwa sasa inavyoonekana mnataka kuongoza kwa hali na mali.
Hizi spinning mnazozianzisha zitakuja kuwarudieni ninyi wenyewe. Historia ya chaguzi nyingi za nchi za Afrika imebainisha hili. You're setting the spinning bar very high kiasi kwamba hata mkiingia madarakani hamuwezi kuwapa wananchi kile mnacho spin kucha kutwa kama kinawezekana. otherwise, tunaanza kuona kama mko na mission za kutaka kujinufaisha kibinafsi
CCM wameshindwa kuendesha siasa za majukwaani badala yake wameamua kutumia Ulimboka Style
Umeona eenh, hakuna hata mdomo ulionyanyuliwa kuongelea lile suala la mama zitto, wanachosubiri, likiripuka la chadema, basi wanatafuta skendo ya kuhamisha mawazo ya wananchi......na huyu zitto anaujua ukweli wa CDM, nadhani hadi siku wamguse patakapomuuma ndiyo atatoka na kueleza madudu ya cdm, and trust me, hata zitto akieleza hayo..bado wale vijana wasioona mbele wala nyuma watamtukana....tumeshashuhudia hilo, tena si mara moja wala mara mbili...kipind kile zitto haelewani na uongozi wa CDM, walikuwa na migogoro ya ndani..unakumbuka?? Mwanahalisi, Tanzania Daima na Jamii forums ndiyo zilikuwa zinaongoza kuanika mabaya ya zitto, mwanahalisi walienda mbali hadi kuanika mazungumzo kwa njia ya simu kati ya zitto na January makamba enzi zile yupo ikulu...so to make the story short...these CDM guys are loosing it....they are like a group of people in very deep water struggling to survive.....Well said mazee,
Naona huu mchezo wao umeosoma vizuri.
Wameona juzi kuna shutuma za mama Zitto wamerudi na hii kutupoteza malengo.
niamini ndugu, wakati wa kufa, mtu atatafuta wakumlaumu kwa nguvu zote, mnahitaji ushahidi gani muamini kuwa CDM wana uchu wa madaraka, and for that wako tayari kufanya lolote, kujeruhi yoyote, kuua yoyote kuhakikisha wanakamata madaraka, hivi ni akili mgando kiasi gani kufikiria kumpa lema jambazi mstaafu wizara ya mambo ya ndani?? na nyi vijana wa nchi hii, mnaojiita wasomi mpo tu?? afu kila siku, TISS, Polisi, Jeshi wote ni magamba?? hamjui vyombo vyote hivyo moja ya kazi zake ni kuilinda serikali iliyoingia madarakani kihalali bila ya kujali inatoka chama gani?? mmepewa akili mzitumie, sio mfanye mapambo...Tatizo ni TISS mnapojiingiza kwenye siasa za vyama.Fanyeni kazi kwa uadilifu na hamtapa wasiwasi kama ccm ikiondolewa madarakani.
Mmeanikwa mchana kweupeSlaa anatakiwa akue sasa
Great thinkers na wewe ni miongoni mwao?Hapa dr haponi kuna ma GT wanao fikiria na kuanalyse issues critically sanasana ataungwa mkono wale Brainwashed only. Au ban kutupunguza ndio zitawasaidia.
Namba imetajwa hapo juu.Halafu huna haja ya kushughulika kufungua ID nyingi mpya humu namna hiyoHuwezi kuwa seriuos hata kidogo, ufuatiliwe na gari kutoka iringa hadi dar usiweze kuchukua hata namba ya gari, ndio mana tunasema hii habari ina mashaka mengi ya wazi na yafaa kuipuuza
Kumbe huku ndiko ulikokua unaelekea?Pole sanaMama zitto amelalamika kuvamiwa na kutishiwa kifo ameonekana mwehu, leo wewe kufuatana na watu barabarani unajifanya umefatiliwa...nani apoteze muda na mafuta kuhangaika na ww...ilikuwa mrema bana enzo zake sio nyie, na hajatishiwa
Kulinda serikali?Hiyo nadharia unaitoa wapi?niamini ndugu, wakati wa kufa, mtu atatafuta wakumlaumu kwa nguvu zote, mnahitaji ushahidi gani muamini kuwa CDM wana uchu wa madaraka, and for that wako tayari kufanya lolote, kujeruhi yoyote, kuua yoyote kuhakikisha wanakamata madaraka, hivi ni akili mgando kiasi gani kufikiria kumpa lema jambazi mstaafu wizara ya mambo ya ndani?? na nyi vijana wa nchi hii, mnaojiita wasomi mpo tu?? afu kila siku, TISS, Polisi, Jeshi wote ni magamba?? hamjui vyombo vyote hivyo moja ya kazi zake ni kuilinda serikali iliyoingia madarakani kihalali bila ya kujali inatoka chama gani?? mmepewa akili mzitumie, sio mfanye mapambo...
sema chochote ili uendelee kujiaminisha kuwa mkombozi wako ni slaa na CDM....if u r waiting for a miracle to happen, utasubiri sana....kitu cha muhimu, u hav to be the miracle, F.Y.I, si kila asiyeunga mkono hoja za slaa na CDM ni mtu wa Magamba, ama serikali!!, wengine wanaweka taifa mbele, vyama na dini nyuma...mnaojiita wanaharakati na wazalendo huku mko tayari kuyafumbia macho mabaya yanayofanywa na CDM kwa ujumla wake, si wazalendo na wala si wanaharakati wa kweli!! mapinduzi ya kimaendeleo na kiutawala hayaletwi kwa matusi kwa fujo wala kwa vurugu......na si kila asiyekubali hoja zenu ni mbaya wenu, sometimes, mnatakiwa kubadilika na kukubali ushauri, muone kama hamtopata washabiki wengi zaidi.....Mmeanikwa mchana kweupe
Great thinkers na wewe ni miongoni mwao?
Namba imetajwa hapo juu.Halafu huna haja ya kushughulika kufungua ID nyingi mpya humu namna hiyo
Kumbe huku ndiko ulikokua unaelekea?Pole sana
Kulinda serikali?Hiyo nadharia unaitoa wapi?
Inawezekana ninyi ni miongoni mwao maana taarifa za karibuni ni kuwa mmevamia JF kwa wingi kuja kupambana na stori zinazoumbua taasisi yenu pale madudu mnayofanya yanapoanikwa.Kwa bahati mbaya vijana wameamka sasa hivi na wanajua mnachofanya ndiyo maana wengine hatuogopi kuingia na Verified ID's.
Haya uliyoandika hapo juu unaweza kuja kuthibitisha?
Unaweza kuthibitisha hili?Njoo uthibitishe kuhusu hii ID hapa la sivyo.....Dr amekua akicheza na akili za watu (psychological games) hasa kwa vijana ambao hawana kazi ya kufanya na kuwapa riziki kutokana na uvivu na bangi nyingi.
Kutokana na juhudi za watanzania wazalendo kuwaelimisha unafiki na motive behind cdm na chama kupungua kasi yake ya kukubalika ikabidi watengeneze matukio yakuwafanya watu wawaonee huruma.
DR SLAA KATENGENEZA ID YA BARC. NA KUJA GHAFLA KUTENGENEZA MOVE ITAKAYOFUATIA BAADA YA TUKIO LA MAMA ZITTO KUVAMIWA.
BEN SAA8 ALIPOKEA AGIZO KUTOKA KWA SLAA ATENGENEZE MOVE HII KWA ID MPYA ILIYOPOST UZI HUU.
Namba ya gari ipo hapo juu.Jifunze kusoma acha uvivuWeka picha ya gari na namba kidogo ufuatiliaji uwe mwepesi usitudanganye.
Wewe unasema jambo kubwa linachukuliwa kishabiki umesahau juzi kati ulitoa maelezo ya ajabu juu kuhusu kutishiwa kuuwawa mama zitto ukasema ni uongo na vijana wako akina Lwesye uliowatumia kumtisha mama wa watu wakamdhihaki na wewe hukuzungumza haya ambayo unayasema. Mkuki mtamu kwa nguruwe kwa binadamu kwa mchungu.
simbilisi,shame on you too....
Hivi slaa do u have a gut to think , hope , aspire or even dreaming that you gonna make good president?
mtu gani akuue wewe mchana kweupe? we have vide cameras, from our smart phones, we have backup of every technology....huyo wa kukuua wewe so openly kiasi hicho ni nani? kwa nini unajivisha ujinga na uwehu kwa mawazo na mitaji ya kitoto?
mwenzako mbowe ana walinzi, whats makes you huna walinzi? walau mmoja ungemshusha afuatilie hilo gari? HAUKUWA NA WATU kutoka makao makuu (kikosi chenu cha ulinzi) kifuatilie hata kumuhoji huyo dereva?? tangu iringa??? hata kama umegundua ukiwa morogoro bado walinzi wenu walikuwa na uwezo wa kumkamata huyu mtu.......SASA KAMA HAUNA AKILI NDOGO KAMA HII UKIWA RAIS utafanyaje? you are far worst than what we have now.....
Slaa pengine unazeeka vibaya, but please try to collect youself and organise your logic skills, please no one can buy this ----,,,,I mean no one can board in this vehicle made by you
wa kuku support wewe ni wenye akili kama zako, wasioweza kufikiri
wanachadema, it was better mngemkaripia huyu rais wenu maana hatumii ubongi
Mzalendo ni yule anayetaka tuwe na taasisi imara zinazofanya kazi kwa weledi.Unasema unapinga udini na vyama kuwa mbele ya maslahi ya taifa lakini wakati huo huo unaitetea taasisi ya usalama inayotanguliza maslahi ya chama mbele na kutumika kupandikiza mbegu za udini kwa maslahi ya kisiasa na kushindwa kutoa ushauri makini kwa rais.sema chochote ili uendelee kujiaminisha kuwa mkombozi wako ni slaa na CDM....if u r waiting for a miracle to happen, utasubiri sana....kitu cha muhimu, u hav to be the miracle, F.Y.I, si kila asiyeunga mkono hoja za slaa na CDM ni mtu wa Magamba, ama serikali!!, wengine wanaweka taifa mbele, vyama na dini nyuma...mnaojiita wanaharakati na wazalendo huku mko tayari kuyafumbia macho mabaya yanayofanywa na CDM kwa ujumla wake, si wazalendo na wala si wanaharakati wa kweli!! mapinduzi ya kimaendeleo na kiutawala hayaletwi kwa matusi kwa fujo wala kwa vurugu......na si kila asiyekubali hoja zenu ni mbaya wenu, sometimes, mnatakiwa kubadilika na kukubali ushauri, muone kama hamtopata washabiki wengi zaidi.....
Nduka,Huyu babu hakuwa na mke wa mtu humo kwenye gari? Maana sasa watu hawatamvumilia tena kupoka wake za zao.
Huyu babu hakuwa na mke wa mtu humo kwenye gari? Maana sasa watu hawatamvumilia tena kupoka wake za zao.
Mzalendo ni yule anayetaka tuwe na taasisi imara zinazofanya kazi kwa weledi.Unasema unapinga udini na vyama kuwa mbele ya maslahi ya taifa lakini wakati huo huo unaitetea taasisi ya usalama inayotanguliza maslahi ya chama mbele na kutumika kupandikiza mbegu za udini kwa maslahi ya kisiasa na kushindwa kutoa ushauri makini kwa rais.
Taasisi ambayo inamuelekeza waziri kwenda kutoa tamko juu ya nani achinje?
Taasisi iliyoruhusu fedha za EPA zichotwe na kutumika kwenye kampeni za uchaguzi kwa chama tawala huku wakishindwa kumshauri rais juu ya umuhimu wa kufuata utawala bora wa sheria ili wahusika waburuzwe mahakamani badala yake Rais akawaambia warudishe.Ni picha gani hii iliyojengwa kwa vibaka wa mitaani?
Kwamba unasema tukubali ushauri?Nitakishangaa CHADEMA kama kitakubali kila ushauri hata ule wa kipumbavu,tutakua hatuna tofauti na watawala tulio nao wanaoshauriwa kutoa maagizo ya kiserikali kwenye masuala ya dini na kusamehe wazi wa mali za umma.
CHADEMA kinapenda ushauri wenye tija ndiyo maana kuna kitengo cha utafiti na sera ambacho kinaongozwa kwa weledi.Professional consultancy ni nguzo kuu katika utendaji wake hasa yale yanayohitaji professionalism.Make no mistake!
Hilo la CHADEMA kuchukua madaraka linakutisha sana unaandika kwa jazba.Mtaumia wengi ila ni suala la muda tu....na bado.
Nduka,
Hebu soma kwa sauti kubwa hicho ulichoandika hapo.Sometimes it's better to be silent kuliko kujidhalilisha hata kama unatumia ID fake
Kawaida ya watu wanaofaidika na mfumo wa kifisadi wako radhi kufanya lolote ilmradi wanalinda maslah yao lakini kwa bahati mbaya wanasahau kuwa watanzania wa sasa wameelimika wanafahamu suluhisho ni CHADEMA Kamanda Ben tuendelee kuwaelimisha kwa hoja watanzania wazalendo wa taifa hili wanaoathirika na mfumo wa kidhalimu wa ccm.Mzalendo ni yule anayetaka tuwe na taasisi imara zinazofanya kazi kwa weledi.Unasema unapinga udini na vyama kuwa mbele ya maslahi ya taifa lakini wakati huo huo unaitetea taasisi ya usalama inayotanguliza maslahi ya chama mbele na kutumika kupandikiza mbegu za udini kwa maslahi ya kisiasa na kushindwa kutoa ushauri makini kwa rais.
Taasisi ambayo inamuelekeza waziri kwenda kutoa tamko juu ya nani achinje?
Taasisi iliyoruhusu fedha za EPA zichotwe na kutumika kwenye kampeni za uchaguzi kwa chama tawala huku wakishindwa kumshauri rais juu ya umuhimu wa kufuata utawala bora wa sheria ili wahusika waburuzwe mahakamani badala yake Rais akawaambia warudishe.Ni picha gani hii iliyojengwa kwa vibaka wa mitaani?
Kwamba unasema tukubali ushauri?Nitakishangaa CHADEMA kama kitakubali kila ushauri hata ule wa kipumbavu,tutakua hatuna tofauti na watawala tulio nao wanaoshauriwa kutoa maagizo ya kiserikali kwenye masuala ya dini na kusamehe wazi wa mali za umma.
CHADEMA kinapenda ushauri wenye tija ndiyo maana kuna kitengo cha utafiti na sera ambacho kinaongozwa kwa weledi.Professional consultancy ni nguzo kuu katika utendaji wake hasa yale yanayohitaji professionalism.Make no mistake!
Hilo la CHADEMA kuchukua madaraka linakutisha sana unaandika kwa jazba.Mtaumia wengi ila ni suala la muda tu....na bado.
Nduka,
Hebu soma kwa sauti kubwa hicho ulichoandika hapo.Sometimes it's better to be silent kuliko kujidhalilisha hata kama unatumia ID fake
Wewe kijana unadahani utawadanganya watu wote, mda wote?. Hivi wewe unauchungu na nchi kuliko watuwote?
Hivi Slaa anapotudanganya mchana kweupe hivi inaingia akilini?
1. Baada ya kuona anafuatiliwa alichukua hatua gani? je aliwatarifu wanausalama wengine wa CDM au alikaa kimya?
2. Hiyo picha mliyoipiga mmeiweka wapi, Mbona hamuibadiki hapa sasa?
3. Inasemekana hilo gari lilokuwa linawafuatilia ni gari la wanausalama la CDM. Ambalo huwa linatumiwa mara chache.
4. Kwanini Mnasema ni Slaa alikuwa anafuatiliwa na sio wengine?
5. kufuatiliwa kuanzia Iringa hadi Dar? dah hii haiingii akilini. So mmechukua hatua gani sasa?
Usipojibu maswali yangu nitakuona Wewe na Slaa ni wajinga.
Kijana saa nane.Huu muda wa kujibu maswali haya ya kipuuzi niupate wapi?Usiwe mvivu wa kusoma.Yote hayo uliyouliza usingekurupuka kuyarudia wakati yalishajibiwa tangu mwanzo wa thread.Labda kichwa chako ni kizito sana kuelewa.Pole