Dkt. Slaa akatalika kila mahali na kutengwa na kila mtu

Babu yangu aliniambia ogopa kitu, KIAPO...
 
𝑺𝒆𝒎𝒂 𝒕𝒖 𝒌𝒘𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒘𝒆𝒘𝒆 𝒌𝒘𝒂 𝒃𝒊𝒏𝒂𝒇𝒔𝒊 𝒚𝒂𝒌𝒐 𝒏𝒅𝒐 𝒉𝒖𝒎𝒑𝒆𝒏𝒅𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒃𝒖 𝒛𝒂𝒌𝒐 𝒃𝒊𝒏𝒂𝒇𝒔𝒊
 
Babu yangu aliniambia ogopa sana,KIAPO.
Huyu aliapa kuwa PADRI sasa anafanya nini huko ulimwenguni?
Alijidai eti kuukimbia ule mchezo pendwa wa maaskofu na mapadri.

Hivi josefina nae kamtema mzee?
 
Ananyota ya Bundi yule Babu kila anapotua lazima ugonjwa migogoro na misiba.

Alipotua Ikulu ya Magufuli na msiba mzito ukafiatia
 
Tunampongeza Dr.Slaa kwa kupigania maslahi ya nchi yetu!
 
Aisee umeweka kabisa na namba ya simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hauna uzalendo wowote, ni chawa njaa tu
 
Wewe Ni chawa Kama chawa wengine mnaofijiria teuzi tu.
Namba ya simu umemuwekea nani0? Ili iweje ukipigiwa?
 
Peleka ujinga wako mbele. Yuko kwenye mioyo ya wengi huwezi kuwa MWIZI ukamkubali
 
Huyo slaa ananyea kila kambi anayopitia.

Mtu wa hovyo, mwongo, mnafik, asiye na maadili, kuwahi kutokea Tanzania hii.
Angalau Balozi Dr. Slaa kuliko wewe mtetea uuzwaji wa bandari za Tanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…