Dkt. Slaa akirudi Tanzania tumuombe arudi CHADEMA

Dkt. Slaa akirudi Tanzania tumuombe arudi CHADEMA

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeweza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeseza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
Nawewe urudi ulikotoka
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeseza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
Kwa nini msimrudishe Lowassa...
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeseza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.

Mara hii mmemchoka CCM?

Amandla...
 
Wewe uliyetoa wazo la kumrudisha Dr.Slaa CHADEMA,Ni CCM WEWE.Kama unampenda Sana mpeleke huko Jimbo la Ukonga Akakae na Slaa Mwenzie(Jerry) Mbunge.
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeweza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
Akili ndogo sana hii. Sasa hujiulizi huyo Dr akirudi anaweza tu kua ni mmoja qa serikali hiyo hiyo na akaishia kuwazuga tu?washabiki wa siasa hasa siasa ya upinzani sioni kama hua mnatumia akili sawasawa
 
Akili ndogo sana hii. Sasa hujiulizi huyo Dr akirudi anaweza tu kua ni mmoja qa serikali hiyo hiyo na akaishia kuwazuga tu?washabiki wa siasa hasa siasa ya upinzani sioni kama hua mnatumia akili sawasawa
Hujui siasa wewe. Unadhani siasa ni uhabiki wa Simba na yanga? Siasa ni maisha ya watu.
 
Back
Top Bottom