Dkt. Slaa akirudi Tanzania tumuombe arudi CHADEMA

Dkt. Slaa akirudi Tanzania tumuombe arudi CHADEMA

Mleta mada kuna mataputapu huwa unatumia, mbaya zaidi unayanywa kuanzia asubuhi.
 
Akirudi Dr Slaa itabidi Mbowe akae pembeni maana ujinga alioufanya kumleta Lowasa hausameheki hata kidogo.
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeweza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
Slaa kurudi cdm mpaka mhakikishe shimo la choo lililo ndani ya chumba cha kulala mmelifukia .
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeweza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
Tuondolee ukuda wako wa kiccm hapa
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeweza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
Akaazishe chama chake ila chadema akuna nafasi
 
Akirudi Dr Slaa itabidi Mbowe akae pembeni maana ujinga alioufanya kumleta Lowasa hausameheki hata kidogo.
Huo upuuzi wa kumleta Lowassa na kumweka pembeni Dr Slaa ndio ulinifanya niache kuiunga mkono chadema.
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeweza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.

aende Burundi
 
Kwa sasa kisiasa tupo vibaya sana maana katibu mkuu aliyepo sasa hivi hana mikakati ya kutunyanyua kisiasa.

Pamoja na kuwa mwamba ametiwa nyavuni lakini sio sababu ya kutoendeleza mikakati ya kisiasa.

Uonevu wa Ccm kwa watanzania umezidi, tozo za kila namna, ukosefu wa ajira, ufisadi na kila namna ya ukiukwaji wa haki za binandamu.

Dk Slaa ndio mpiganaji atayeweza kuirudisha CHADEMA kwenye reli.
Wewe takataka ya Lumumba, Kamanda Asiyechoka, tulia kidogo nikupe somo kuhusu historia ya mageuzi iliyopelekea kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi. Upepo wa mabadiliko ulipoanza kuvuma tu, ni wachache sana waliokuwa na ujasiri wa kujitokeza wazi wazi kuunga mkono na kudai mabadiliko hayo na nakuapia Dr. Wilbroad Slaa hakuwa moja wao.

Dr Wilbroad Slaa katu hakushushiriki katika mapambano ya kudai demokrasia ya vyama vingi kwani kama walivyokuwa wachumia tumbo wote nyakati hizo, hakuwa na ujasiri huo. Ni pale alipotupwa nje baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia chama hicho cha Majizi, CCM, ndipo alipodandia treni ya Chadema na kupata ufadhili wa kugombea nafasi hiyo.

Kumbuka huo ulikuwa ni uchaguzi wa kwanza kabisa chini ya mfumo wa vyama vingi, uchaguzi uliofanyika mwaka 1995. Dr Slaa hakuwa peke yake katika walafi wa madaraka waliodandia treni ya chama cha Upinzani, mwingine aliyefanya hivyo ni mgombea wa Urais mwaka huo mzee wa kiraracha Augustino Lyatonga Mrema, naye baada ya kutupwa na CCM alidandia treni ya NCCR.

Ni huko kukaribishwa kwa Mrema NCCR kulikotufanya wengine kuachana kabisa na chama hicho tukikumbuka vipigo na makovu aliyotusababishia huyo mzee wa siku saba akiliongoza Jeshi la Polisi (FFU) kutuumiza wana mageuzi. Mrema aliongoza mashambulizi ya FFU dhidi yetu na hadi sasa tabia ya polisi kuwapiga wananchi ilipozaliwa, ikalelewa na ikakua...huyo ndiye Mrema.

Huwa naudhika sana hawa watu wawili wanapohusiswa na harakati za kudai demokrasia ya vyama vingi kwani nyakati hizo waliungana na watesi wa wanamageuzi wa kweli. Dr. Slaa alipoamua kurudi CCM alikuwa anarudi nyumbani baada ya kugundua kuwa huko upinzani kuna kuhangaika juani tofauti na CCM ambako wezi na mafisadi hutafuna rasilimali za taifa kivulini.

Nyie watoto mliozaliwa kwenye mikesha ya mwenge historia kama hizi mtazijulia wapi?
 
Wewe takataka ya Lumumba, Kamanda Asiyechoka, tulia kidogo nikupe somo kuhusu historia ya mageuzi iliyopelekea kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi. Upepo wa mabadiliko ulipoanza kuvuma tu, ni wachache sana waliokuwa na ujasiri wa kujitokeza wazi wazi kuunga mkono na kudai mabadiliko hayo na nakuapia Dr. Wilbroad Slaa hakuwa moja wao.

Dr Wilbroad Slaa katu hakushushiriki katika mapambano ya kudai demokrasia ya vyama vingi kwani kama walivyokuwa wachumia tumbo wote nyakati hizo, hakuwa na ujasiri huo. Ni pale alipotupwa nje baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia chama hicho cha Majizi, CCM, ndipo alipodandia treni ya Chadema na kupata ufadhili wa kugombea nafasi hiyo.

Kumbuka huo ulikuwa ni uchaguzi wa kwanza kabisa chini ya mfumo wa vyama vingi, uchaguzi uliofanyika mwaka 1995. Dr Slaa hakuwa peke yake katika walafi wa madaraka waliodandia treni ya chama cha Upinzani, mwingine aliyefanya hivyo ni mgombea wa Urais mwaka huo mzee wa kiraracha Augustino Lyatonga Mrema, naye baada ya kutupwa na CCM alidandia treni ya NCCR.

Huwa naudhika sana hawa watu wawili wanapohusiswa na harakati za kudai demokrasia ya vyama vingi kwani nyakati hizo waliungana na watesi wa wanamageuzi wa kweli. Dr. Slaa alipoamua kurudi CCM alikuwa anarudi nyumbani baada ya kugundua kuwa huko upinzani kuna kuhangaika juani tofauti na CCM ambako wezi na mafisadi hutafuna rasilimali za taifa kivulini.

Nyie watoto mliozaliwa kwenye mikesha ya mwenge historia kama hizi mtazijulia wapi?
Umepresent pumba tupu.
 
Umepresent pumba tupu.
Of course huwezi kujua hayo na ndio maana unaita pumba. Kwa ufahamisho ni mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza rasmi baada ya mapambano yalioanza tangu mwaka 1989. Dr Slaa alijiunga na Chadema mwaka wa uchaguzi 1995 baada ya kuachwa na CCM pamoja na kuongoza kwenye kura ya maoni akigombea ubunge.
 
Of course huwezi kujua hayo na ndio maana unaita pumba. Kwa ufahamisho ni mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza rasmi baada ya mapambano yalioanza tangu mwaka 1989. Dr Slaa alijiunga na Chadema mwaka wa uchaguzi 1995 baada ya kuachwa na CCM pamoja na kuongoza kwenye kura ya maoni akigombea ubunge.
Kama una akili timamu utajua what is what.
 
Back
Top Bottom