Dkt. Slaa akirudi Tanzania tumuombe arudi CHADEMA



umetisha mkuu [emoji122]
 

Majembe yetu bashiri na polepole vipi yangerejelea nafasi zao kwa ushindi zaidi bila kupingwa?
 
Kama una akili timamu utajua what is what.
Yaani wewe Kamanda Asiyechoka (takataka ya Lumumba) ndio uwe na akili timamu, thubutu! Huko Lumumba hakuna akili timamu ndio maana haikuwa kazi ngumu kwa yule dhalimu mwendakuzimu kuwatafuta vichaa wenzake na kuwateua halafu kuwapa madaraka yanayowazidi kimo. Hilo mbona alilisema yeye mwenyewe...nireteeni fulani, namtaka fulani, yuko wapi fulani, nateua mwenyewe, sitaki ushauri...utadhani anawaopoa kwenye dampo.
 
Chadema wengi wasio na akili humuona Slaa alisaliti chama.
 
Labda arudi kukuoa wewe,bladifakeni
 
Chadema mawazo au wazo alitokagi chini kwenda juu ila linatokaga juu kwenda chini, na juu ni kwa mtu mmoja tu, kama Mboe akiongea na Slaa na kumpigia magoti anaweza rudi na wanachama wote wakakubari na kumpokea lakini ona wewe unavyokashfiwa na hoja yako hao ni watu ila kwa ndani ni nyumbu. \wanachama wa chadema ni kama askari wanafuata amli tu hawa ndiyo maana wanitwa makamanda.
 
Mwombe hata akuoe au aongoze familia yako.
Tabia za kishoga hizi kumshobokea mwanaume mwenzio.
Dkt.Slaa aliondoka mwenyewe CHADEMA wewe unataka uende ukamwombe arudi ili iweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…