Haya mambo yalimshinda Marmo alipotaka kuyaibua ktk bunge lililopita ila sasa naona jamaa wamebanwa ktk kona mbaya.
Ila nilichojifunza hapa ni kwamba SERIKALI inaficha maradhi yaani hizo siri zinazotakiwa kufichwa ni WIZI MTUPU. mikataba feki, vijimemo vya wizi kule hazina na taka taka zinginezo.
Mmbona hakuna nyaraka hata moja inayonyumbua masuala ya ulinzi na usalama mbayo imewekwa hewani au peupe? Serikali na wadau wake watambue kuwa wao ni watanzania kama sisi na nchi ni yetu wanachi hivyo kama kuna mambo zanayogusa maslahi ya taifa yanafanyika gizani basi hiyo ni dalili ya UHAINI ambao sasa unawatokea puani.
Thanks for highlighting that. Every Government has a law in classified Documents. Since the wake of Ufisadi, there has been a lot of reports and documents that have revealed the truth about Ufisadi, now would you really classify the UFISADI documents as sensitive data that could jeopardize the security of the country. I think there is a level of sensitivity that requires one to receive clearance of having such documents. But so far, I think it is quite embarrassing to hear these wabunge trying to rally against Dr. Slaa. You would think as a member of parliament representing TZ people, he would have the right to certain documents. It is about time we all have to unity against such wabunge jamani.
.