Dkt. Slaa amefanya mahojiano kwa muda mfupi, CHADEMA wamebaki wamechanganyikiwa kabisa, hakika huyu ni kiboko yao

Dkt. Slaa amefanya mahojiano kwa muda mfupi, CHADEMA wamebaki wamechanganyikiwa kabisa, hakika huyu ni kiboko yao

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya Chadema.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
Achana na mambo ambayo hayakuongezei kipato.
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
Hopeless thread from hopeless mind. Don't you have sensible matter to bring to sensible people for discussion?
 
... father mzinifu; mkana kiapo cha useja; mtelekeza mke na familia; mpora wake za watu hana lolote kwa sasa.
Duh hayo madongo sasa ya mbowe. Usimfanyie hivyo mwenekiti wako
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
Kumsimanga mitaani mke uliyeachana naye ni ujuha
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
mchukue DR.slaa akawe bab yako hapo kwenu. mwambie bi mkubwa ampe huduma zote na yote kama alivyokuwa akimpa mzee wako.
hapo slaa atakuwa kiboko ya bi mkubwa wako siyo kwa chademe
nimeeleweka?
 
Anajua nguvu na madhaifu yao, akiamua kuwaumiza basi wataumia kweli.
lowasa mwenyewe aliondoka ccm.... ccm iliumia ? acheni ujuha nyie nzi wa kijani? so angekufa kama magufuli chadema ingekufa?
 
Mi nashauri huyu mzee atulie aelekezwe mkongo unapopatikana aimarishe ndoa. He's worn out kabisa! His senescence is turning into adolescence
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
Slaa atakufa na CDM itaendelea kustawi.
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
Duh...!, laiti ungelijua kuwa tayari baadhi ya Wana Chadema walikwisha mshtukia kitambo, sisi watu wa jicho la tatu, long time tuliisha waonya Chadema
P
 
Another rubbish for trashcan. Why don't you take him to your party ccm if you so admire him.
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha
Slaa ni zilipendwa kwa sasa....
 
Dk. Slaa ni profesa wa Siasa, yaani kafanya mahojiano kwa muda mfupi, CDM wamepagawa, akili zimewaruka.

Nadhani pengo la Dk Slaa liko wazi na ni kubwa sana ndani ya CHADEMA.
Wote wamefurumuka kutoka kwenye mashimo yao huko ufipa kujaribu kuzima moto mkali wa Dk. Slaa.

Hakika huyu Dk siku akimwaga mboga na ugali, kile chama kimekwisha

Chama cha matusi na malaika. Kwao Hakuna anayekosa. Wapo UPRIGHT always. So watamtukana na wala hawataangalia ya kwenye closet
 
Back
Top Bottom