Dkt. Slaa amefanya mahojiano kwa muda mfupi, CHADEMA wamebaki wamechanganyikiwa kabisa, hakika huyu ni kiboko yao

Huyu mzee ni muongo toka zamani
Kumbuku wakati akigombea urais alidai kuna Lori limekamatwa Songwe lomejaa kura feki za Kikwete
 
Heshima kubwa ya Dr ni kuwa anaruhusu kujadilina naye hoja na propaganda zote juu yake.
Ujasiri ambao sio wanasiasa wote wanao.
Nilifuatilia mjadala wake na Msigwa -
Msigwa akaanza kuongea mambo ya Mke wa Slaa eti kisa Dr kamuita Msigwa "Mchungaji"
 
Mpe na "jicho" yaishe sio kwa sifa hizo hata mkewe hajawahi kumsifia hivyo.
 
Acha kutia chumvi ww. Fanya Kazi ya maendeleo
 
kiungo hiki mhimu sana kwenye kutafuta mtoto
 
Dr Slaa kama una tatizo nae fanya nae mdahalo uone. Simply mwanasiasa bora na Genius wa kizazi chetu.
 
Kawafanya wasahau hata kumtukana Magufuli.Yaani Dr akifanya mahojiano Tena basi tutarajie kuona ngumi za kimatumla huko chadema.
Dr hajawahi kufeli malengo anayoweka
 
Kinembe chinembe kama lilivyo jina lako, una akili ambazo hazitoshi hata kujaa katika kisoda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…