KWELI Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdedith Soka atauawa na kutupwa msituni

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Bendera zenye rangi nyeusi katikati zina matatizo sana.
 
Aisee hili sasa limekua janga kubwa hakika hatuko salama
 
Nchi hii imejaa dhulma kila kona ndio maana hatupati maendeleo.
 
Tarehe 21/08 ishapita saa 8 ishapita tuanze kuutafuta mzoga sasa kwenye hio misitu ya karibu km utapatikana au sio hivyo?
 
Inaonekana ofisi za mamlaka nchi hii zimeshikwa na mashetani. Hivyo wakati wote mashetani hayo yanapanga uovu dhidi ya wanadamu wema.
ZCO ndio nani kwenye Nchi hii ndio mwenye mamlaka ya kuamua nani afe na nani aishi?
 
nani anahujumu 4R
Wamesema ili 4R zifanye kazi inabidi kuwe na R nyingine ya 5 inayochunguza hizo 4R km kweli zinafanya kazi kwa hio 4R hazitoshi inabidi ziwe 5R
 
Reactions: Lax
Tatizo NI zaidi ya KATIBA, taja mmoja mmoja kuanzia dada WA pikipik weka picha hapa, au leta list na majina yote ya wafanya matukio, ipo siku kitaeleweka, tuache kulaumu order za wakubwa Bali tumfundishe aliyetekelez order. Kaz gan au pesa gani inakujengea uadui na jamii alafu ukazid kuipenda?.

Au mwanangu, kijana wangu au jirani yangu ..NAMI niitafute chain yako .hata kama unaishi TANAHIMBA. .hata kama wazaz wako WAZEE kiasi gani Toa maumivu kwao. Ndo sasa tutapeleka ujumbe Sawa. Tatizo la kusoma vitu bila ushahid vikome, kama unajua anayetekeleza upuuzi huo make na weka picha na tukio alifanya. Ama dote tuvunke katiba au sote TUESHIMU KATIBA. my blood shed will nourish the tree that will lead to seek the freedom...

Hamna taaluma uliyonayo peke yako hapa DUNIANI hivyo binadam hastahili kuji guarantee uchafu na ubabe Kwa mwingine..Jpm Yuko wap, wako WAPI waliotoa matamka mabovu wakiwa mawekaliq viti bungeni, wako wapo makamishna wa vyombo vya usalama waliooamin wao ndo nchi yenyewe?, wapo WAPI wakimind bila wao nchi itayumba?

Wapo WAPI waliooaminccm ndo kila kitu km kangi lugola na Yule mwenye hicho la ... "intelligence yetu imebaini vitendo vya kiurafu" wapo WAPI waliodhani nchi hii au Chama flani wao ndo wanakisimika kana nnape na Mzee makamba sr?. Siku TZ itapoteza hii doz ya kuamin Kufa ni Sehem ya Maisha PATACHAFUKA SANA. kila MTU apewe adhabu yake Kwa kipimo anachostahili, usimuonee MTU Kwa njaa zako na uelewa mdogo wako....wapo candidates wazur zaidi yako ingawa hawapo kwenye hiyo status unamilik Leo hivyo usijiamini Sana...

JAMII inifunzie kwenye IMANI ya waumin waliooamin KAKOBE NI Bora kuliko nguvu ya umeme, au Moses Korola Leo je Wana wafuasi kuzid MWAMPOSA...?. Jua KESHO unaweza kuwa ya Moto yako au baridi yako. TUESHIMU watu.
 
Hivi kwenye mambo kama haya iweje Rais, Waziri Mkuu, IGP huwa hawazungumzi kwa namna yeyote ile
 
Habari wapendwa, kuna taarifa inatembea mitandaoni kuwa Dkt. Slaa amepata taarifa ya Deusdedit Soka ya kwamba atauawa leo na kutupwa msituni, je, Taarifa hiyo ni kweli imetoka kwa slaa? Na ina ukweli?

Asante sana Jamii Check, this is noble job mnafanya kazi nzuri iliyotukuka, ni Mungu ndio atawalipia.
Mungu Ibariki Tanzania na kuipusha na madhila ya kihivi!.
P
 
Zamani katiba ilikua nzuri sana wakati hamna utekani? Lini katiba ilibadilika haya mambo yakaanza?
labda kwa kua utakua na umri mdogo chalii. suala la kutekana lilianza toka awamu ya 1. mchonga ndiye muasisi wa kutekana na kushikilia watu vizuizini..hawa wa sasa wanaendeleza waliyofundishwa na muasisi wao. ni awamu ya Mwinyi pekee kulikua hakuna huu upuuzi. awamu ya Ben, Jk, Magu, Saa100 zote zilikua na kutekana na kupotezwa. sema awamu hizi zingine ukuaji wa mitandao umerahisisha kufahamika na kusambaa habari za nama hii kwa urahisi.
 

Mwinyi Katiba ndo ilimbana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…