Dkt. Slaa: Bunge la bajeti ni takwa la kikatiba haliwezi kuahirishwa, Chadema wanatafuta huruma ya kisiasa lakini wamechelewa

Dkt. Slaa: Bunge la bajeti ni takwa la kikatiba haliwezi kuahirishwa, Chadema wanatafuta huruma ya kisiasa lakini wamechelewa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Balozi wetu huko Sweden amesema bunge la bajeti ni takwa la kikatiba hivyo haliwezi kuahirishwa kwa sababu zozote.
Katiba inatamka wazi kuwa bunge la kbajeti litakaa kwa siku zisizozidi 45 ukiondoa week end na sikukuu hivyo hakuna namna unaweza kuahirisha na wabunge wanalijua hilo.

Pili Dr Slaa amesema haiwezekani kusimamisha miradi mikubwa kwa kisiñgizio cha Corona maana hata Sweden hawafanyi hivyo.

Balozi amewaponda wanaosema " maisha kwanza uchumi baadae " kwamba hawana hoja kwa madai uchumi ndio unabeba maisha.

Amewataka Chadema kutoitumia Corona kama sababu ya wao kushindwa kutimiza majukumu yao ya kikatiba.

Chanzo: Channel ten!
 
Dr. Slaa Chadema hakuna pahali nimesikia wanasema bunge la budget lifutwe Kuna Tofauti kufuta na kusimamisha bunge.

Chadema wanataka wabunge wapimwa je wamepimwa? Chadema wanataka takwimu halisi wanaoambukizwa na kufa je zimetolewa?

Chadema nanataka wa nchi madactari wapewe vifaa je wamepewa?

Tumia muda wako kumshauri jiwa asiendelee kujificha chato.
 
Anadiriki kuongelea haki ya kikatiba? Anajua wafungwa wanaotakiwa kesi zao kusikilizwa wananyimwa haki zao kisa Corona? Au matakwa ya kikatiba yanachagua maeneo ya kutekeleza?
 
Kwa hiyo hadi China iliyihairisha binge kwa sababu ya ugonjwa,kwao sio takwa la kikatiba??.
Huyo slaa anaweza akawa amezeeka na akili yake inashindwa kufanya kazi vizuri lakini wewe uliyechukua hii habari na kuiweka humu na ukaona unafaa kusomwa na wana JF ndio una matatizo zaidi.
 
Dr. Slaa Chadema hakuna pahali nimesikia wanasema bunge la budget lisimame.

Chadema wanataka wabunge wapimwa je wamepimwa? Chadema wanataka takwimu halisi wanaoambukizwa na kufa je zimetolewa? Chadema nanataka wa nchi madactari wapewe vifaa je wamepewa?
Waende bungeni wakapimwe!
 
Kwa hiyo hadi China iliyihairisha binge kwa sababu ya ugonjwa,kwao sio takwa la kikatiba??.
Huyo slaa anaweza akawa amezeeka na akili yake inashindwa kufanya kazi vizuri lakini wewe uliyechukua hii habari na kuiweka humu na ukaona unafaa kusomwa na wana JF ndio una matatizo zaidi.
Bwashee sisi hatuwaigi wachina!
 
Huyu mzee kichwa kibovu kweli. Kwahiyo watu wafe ili kutimiza takwa ambalo kimsingi amechapia? Yeye mwenyewe kafungiwa jinga sana. Sweden leo ameripoti kuwa wanatumia kinyesi cha kuku ili kuwalazimisha watu wabaki ndani. Ngoja amuige boss wake amwagiwe kinyesi. Kwanza bajeti ipi ambayo hata haitekelezwi. Dr. Slaa ni mjinga!
 
Kwa hiyo hadi China iliyihairisha binge kwa sababu ya ugonjwa,kwao sio takwa la kikatiba??.
Huyo slaa anaweza akawa amezeeka na akili yake inashindwa kufanya kazi vizuri lakini wewe uliyechukua hii habari na kuiweka humu na ukaona unafaa kusomwa na wana JF ndio una matatizo zaidi.
Gwajima anasema!! Ni Bora mngeondoka na kwenda kujificha sio kuomba Hadi makanisa yafungwe, kufanya hivyo mnakuwa mawakala kamili wa shetwani mmekuwa wapinga Kristo

Wakati mnaingia Bumgeni mlikuwa manaimba kwamba Mlianza na Mungu na mtamaliza na Mungu, inakuweje leo mnataka kumaliza na Shetani?

Vita vilivyopo ni vya Kiroho, inakuwaje mlioanza na MUNGU mnaweka mpira kwapani?

Hayo Ni maneno ya Gwajima aliyekuwa mtetezi wenu Kwa kuwa mlionekana kuegama Kwa Mungu Ila Kwa sasa nyinyi ndio mnaoongoza vita ya kumpinga Mungu mchana kweupe, mkisema makania na miskiti ifungwe
 
Katiba inatamka wazi kuwa bunge la katiba
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa taarifa hii, ila Bunge hili sio Bunge la Katiba ni Bunge la Bajeti!.

Pili Dr. Slaa hayuko right, hii Corona ni janga kama janga lingine lolote, kisheria ni tukio linaloitwa force majeure, hivyo shughuli zozote zinaweza kusimama hadi mikataba kusitishwa, hali ikiwa mbaya sana hata Bunge linasimama!.

P
 
Yeye haioni coronavirus?
Huyu dokta mihogo akili zilimruka siku nyingi, tokea siku ile alipokutana na 'sponsors' wake pale hotelini Kempiski.
 
Balozi wetu huko Sweden amesema bunge la bajeti ni takwa la kikatiba hivyo haliwezi kuahirishwa kwa sababu zozote.
Katiba inatamka wazi kuwa bunge la katiba litakaa kwa siku zisizozidi 45 ukiondoa week end na sikukuu hivyo hakuna namna unaweza kuahirisha na wabunge wanalijua hilo.

Pili Dr Slaa amesema haiwezekani kusimamisha miradi mikubwa kwa kisiñgizio cha Corona maana hata Sweden hawafanyi hivyo.

Balozi amewaponda wanaosema " maisha kwanza uchumi baadae " kwamba hawana hoja kwa madai uchumi ndio unabeba maisha.

Amewataka Chadema kutoitumia Corona kama sababu ya wao kushindwa kutimiza majukumu yao ya kikatiba.

Chanzo: Channel ten!
Katiba gani hiyo?

Ibara ya ngapi

Msitudanganye
 
Balozi wetu huko Sweden amesema bunge la bajeti ni takwa la kikatiba hivyo haliwezi kuahirishwa kwa sababu zozote.
Katiba inatamka wazi kuwa bunge la kbajeti litakaa kwa siku zisizozidi 45 ukiondoa week end na sikukuu hivyo hakuna namna unaweza kuahirisha na wabunge wanalijua hilo.

Pili Dr Slaa amesema haiwezekani kusimamisha miradi mikubwa kwa kisiñgizio cha Corona maana hata Sweden hawafanyi hivyo.

Balozi amewaponda wanaosema " maisha kwanza uchumi baadae " kwamba hawana hoja kwa madai uchumi ndio unabeba maisha.

Amewataka Chadema kutoitumia Corona kama sababu ya wao kushindwa kutimiza majukumu yao ya kikatiba.

Chanzo: Channel ten!
Anatimiza matakwa ya uteuzi wake; huku akijitoa ufahamu na kuvua nguo hadharani watu waone utupu wake.
 
Back
Top Bottom