Dkt. Slaa: Bunge la bajeti ni takwa la kikatiba haliwezi kuahirishwa, Chadema wanatafuta huruma ya kisiasa lakini wamechelewa

Masikini Dr, SLAA umefikia kuandikiwa cha kuongea. Kununulia kweli utumwa. Pole sana
 
Nitawashangaa wananchi watakaowarudisha bungeni watu waliowakimbia wakati wakiwahitaji zaidi.
 
Kwani kuoa iko kwenye kiapo cha upadre?
Huyu ni padre aliyekula kiapo cha utii na useja alivunja kiapo akaenda kufanya uzizi, anatofauti gani na Gwaji boy!!
 
Mzee tuambie Je upo sebureni ama chumbani? ile ndoo ya mzigo upo nayo ulipo?
 
Wakipata takwimu inawasaidia nn au ndo maji yanapatikana Hai ujinga mwingine hauna kipimo
 
Wakiwa karantini wanahudhuria vikao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikuwa na Bunge la bajeti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe ni mgonjwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema Wana mapepo machafu
 
Ukisha hamia ccm , kichwa kinajazwa matope.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Gwajima ndie role model wako, Pole.

Alisema Corona haitakuja Tanzania, mkamshangilia, leo imekuja sijui kwanini hamumuulizi vipi?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..kama ni takwa la kikatiba basi Spika na ofisi yake walitakiwa wachukue tahadhari zote kuhakikisha wanawalinda wabunge na ili waweze kushiriki bila hofu ya afya zao.

..wabunge wa upinzani wametoa wito kwa Spika kwamba wabunge wote wapimwe ili kujua kuwa wako salama na waweze kushiriki ktk vikao changamoto ya kuhisi kuwa ni waathirika. Kwa bahati mbaya Spika amepuuza wito wa wabunge wa upinzani.

.
 
Hivi ni nani anayezuia wabunge wa chadema kupimwa? Ikiwa wananchi wa kawaida wanajipeleka kupima, wao wanashindwaje? Utoto nao ukizidi ni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…