permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Washirika gani wakati watalii wengi ni kutoka Ulaya, misaada mingi pia ni kutoka Ulaya. Asia wenyewe wanakimbilia kufanya biashara na Ulayawewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
Pesa ya kigeni ya kufanya nayo biashara inatoka wapiSi tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Ila watu wanaoingia madarakani kwa kura za kwenye mabegi na kuua wazanzibari wenyewe wanaroho nzuri ?Alichozungumza ni nchi za ulaya wazungu huwa wana roho mbaya sana
We ni kipofu?? Hujaiona tu au unataka video ya peke yako??Bila video ni porojo
Kwani Bunge la Ulaya lilishawahi kuihukumu Tz kabla ya sasa?Hiyo clip inayotrend ni ya last year, siyo ya sasa, iko youtube pia.
Japo maudhui yake yako relevant mpaka sasa
Mitano tenaHabari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Wachina unaowafikiria kuwa unaweza kufanya nao biashara, waliwekewa mbinyo kidogo tu na Marekani kwenye biashara, ukuaji wao uludondoka ghafla mpaka 2%, na hautegemewi kupanda tena kwa kipindi kisichopungua miaka 10.Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Paul Silly at his best!Hasira zao zinawapelekea kuzira kama demu siyo?
Kwamba wanazuia watalii kuja na kutofanya biashara kuja kwetu, Kwani Dunia ina nchi ngapi na ulaya ina nchi ngapi?
Raisi wa ulaya na spika wao ni washamba Sana aisee!!
Hiyo ni adhabu Sawa na mke azire kumpikia Mume na badala yake mume awe anajipikia Wakati naye ni mtaalamu wa kupika
Tutajipikia
Si Tanzania ni nchi tajiri wanataka msaada kutoka Ulaya wa nini?Habari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Bora hata kufanya kazi na Wahindi lakini sio WachinaSi tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Huyu atafutwa ubalozi kwa kwenda kinyume na bosi wakeHabari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?