Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aombe mualikoAnaendaje bila kualikwa
Mkuu ule uzi wetu ndo umeutelekeza😨Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Hii nchi ina utajiri kweli kweli watanzania tembeeni kifua mbeleHabari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.
View attachment 1638895
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Akili za chini.Safi sana
Sasa hiyo video ya mwaka 2019 inahusikaje na kinachoendelea Sasa hivi?Habari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.
View attachment 1638895
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Mbona clip ipo?Bila video ni porojo
Mkuu, hiyo clip ni ya lini?Habari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.
View attachment 1638895
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Tumehukumiwa kwa kuwa hatuna DEMOKRASIA ya masikilizano...kunya anye mwingine wewe ukinya umejamba Ahaaaa!Habari za asubuhi wakuu,
Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.
Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.
View attachment 1638895
Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
We hujui ilisemalo Asia wenyewe wanategemea bara ulayawewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
Na hili ndio swali ambalo hata mimi najiuliza.Is it true? mbona hayo hatukuyasikia mwaka jana ! au
Ni ya mwaka jana kweli?Mbona hatukuwahi kuisikia?Mwaka jana kichwa cha habari kinajieleza
Na hili ndio swali ambalo hata mimi najiuliza.
Haa haa haa. Basically, Bunge la Ulaya ni Bunge la Mabeberu. Sasa sijaelewa tunatafuta nini humo Bungeni Kwa Mabeberu?? Si inatupasa tufurai uchumi wetu kutochangiwa na mabeberu?? Milio ya nini tena??Kwani bunge la ulaya wewe mwanachama
Pumba tupu.Hasira zao zinawapelekea kuzira kama demu siyo?
Kwamba wanazuia watalii kuja na kutofanya biashara kuja kwetu, Kwani Dunia ina nchi ngapi na ulaya ina nchi ngapi?
Raisi wa ulaya na spika wao ni washamba Sana aisee!!
Hiyo ni adhabu Sawa na mke azire kumpikia Mume na badala yake mume awe anajipikia Wakati naye ni mtaalamu wa kupika
Tutajipikia
Mkuu! Siku hizi hapa JF ni kama sehemu ya udaku, uwongo mwiiingi hasa jamii ya waliochoka choka maisha, wanaotamani Dunia Ifike mwisho, Kwa sababu tu ya uzembe wao wa kujiingizia kipato, kazi Yao ni kulialia eti ajira, ajira na uskute hata Hilo jamaa linalolialia ajira, lilikimbia shule,Sasa hiyo video ya mwaka 2019 inahusikaje na kinachoendelea Sasa hivi?
Mkuu, habari zenyewe za umbea na uwongouwongo, uwage unasoma kuitia jicho la mwewe!Pumba tupu.
Mmeshindwa nini kujipikia miaka yote hiyo?
Kafanyeni biashara na hao wachina wanaofadhili mchama wenu kwani lazima ulaya?
tumbaku,kahawaSi tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???