Dkt. Slaa: Bunge la Ulaya limetuhukumu Tanzania bila kusikilizwa (2019 Video)

Dkt. Slaa: Bunge la Ulaya limetuhukumu Tanzania bila kusikilizwa (2019 Video)

Ukivimbiwa huwezi kumjui mwenye njaa, mnaacha kumlaumu jiwe mnawalaumu wazungu
 
Habari za asubuhi wakuu,

Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.

Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.

View attachment 1638895

Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Hii nchi ina utajiri kweli kweli watanzania tembeeni kifua mbele
 
Habari za asubuhi wakuu,

Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.

Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.

View attachment 1638895

Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Sasa hiyo video ya mwaka 2019 inahusikaje na kinachoendelea Sasa hivi?
 
Habari za asubuhi wakuu,

Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.

Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.

View attachment 1638895

Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Mkuu, hiyo clip ni ya lini?
 
Habari za asubuhi wakuu,

Nimemsikia Dr. Slaa akieleza kwa uchungu kuwa bunge la ulaya limeiadhibu Tanzania kwa kosa la kuminya democrasia.

Na nchi zote za Umoja wa Ulaya hazitafanya biashara na Tanzania kwa kosa hilo, Lakini jambo hilo limefanyika huku Bunge hilo likivunja demokirasia kwa kutokuipa Tanzania nafasi ya kujieleza katika Bunge hilo kama demokrasia inavyotaka.

View attachment 1638895

Wataalamu wa mambo ya kisiasa na uchumi watueleze, nini athari ya maamuzi haya kwa Tanzania?
Tumehukumiwa kwa kuwa hatuna DEMOKRASIA ya masikilizano...kunya anye mwingine wewe ukinya umejamba Ahaaaa!
 
wewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
We hujui ilisemalo Asia wenyewe wanategemea bara ulaya
 
Kwani bunge la ulaya wewe mwanachama
Haa haa haa. Basically, Bunge la Ulaya ni Bunge la Mabeberu. Sasa sijaelewa tunatafuta nini humo Bungeni Kwa Mabeberu?? Si inatupasa tufurai uchumi wetu kutochangiwa na mabeberu?? Milio ya nini tena??
 
Hasira zao zinawapelekea kuzira kama demu siyo?

Kwamba wanazuia watalii kuja na kutofanya biashara kuja kwetu, Kwani Dunia ina nchi ngapi na ulaya ina nchi ngapi?

Raisi wa ulaya na spika wao ni washamba Sana aisee!!

Hiyo ni adhabu Sawa na mke azire kumpikia Mume na badala yake mume awe anajipikia Wakati naye ni mtaalamu wa kupika
Tutajipikia
Pumba tupu.
Mmeshindwa nini kujipikia miaka yote hiyo?
Kafanyeni biashara na hao wachina wanaofadhili mchama wenu kwani lazima ulaya?
 
Sasa hiyo video ya mwaka 2019 inahusikaje na kinachoendelea Sasa hivi?
Mkuu! Siku hizi hapa JF ni kama sehemu ya udaku, uwongo mwiiingi hasa jamii ya waliochoka choka maisha, wanaotamani Dunia Ifike mwisho, Kwa sababu tu ya uzembe wao wa kujiingizia kipato, kazi Yao ni kulialia eti ajira, ajira na uskute hata Hilo jamaa linalolialia ajira, lilikimbia shule,
.mtu mwenye akili timamu,msomi nzuri aliyefundishwa na akaziona fursa haliilii kama demu bhana

Sasa hawa wenzetu, kila leo kelele, kama hili sjui tumefungia, ni umbea tu wa mtu aliyechoka maisha
 
Pumba tupu.
Mmeshindwa nini kujipikia miaka yote hiyo?
Kafanyeni biashara na hao wachina wanaofadhili mchama wenu kwani lazima ulaya?
Mkuu, habari zenyewe za umbea na uwongouwongo, uwage unasoma kuitia jicho la mwewe!

Ukiona hivyo, ujue wenye akili kubwa tushaipuuza hiyo habari
 
Back
Top Bottom