Usaliti wa dr slaa uko wapi!? Yani kukataa kuungana na lowasa aliyemtuhumu ni mwizi for more than 8 yrs na kujiamulia kukaa pembeni huo ndo usaliti? Inchi inapitia katika kipindi kigumu sana ,kama tukiachana na kumshabulia mtu sababu ya chuki baina mioyoni mwetu na kuachana na hoja anazoweka mezani ata kama ni hoja nzuri basi Chama cha mambuzi watatawala milele na milele, mpaka kije kizazi chenye kuweka hoja binafsi pembeni na kushugulikia hoja zenye maslahi mapana ya nchi.Yani huyu msaliti leo hii ndio wakuisifia CHADEMA[emoji23]
Yani huyu msaliti leo hii ndio wakuisifia CHADEMA[emoji23]
Sidhani, kama ni nguli wa siasa za tanzania maana mtu asiyekuwa na msimamo, mtu ambaye hasimamii anachokiamini kwa kufa na kupona, huyo hapewi sifa hiyo! yeye angelikaa Chadema maana aliamini kuwa Chadema ndiyo ukombozi wa nchi hii. Mara akapokea ubalozi, huyu ana siasa za kimalaya malaya!Nguli huyu wa siasa za tanzania
IMETOSHA.Hata mimi ningepinga, si alishajitoa afunge bakuli lake hayamuhusu
Wajukuu awatoe wapiHuyu mzee ni snitch!!! Na alishasema hataki kujihusisha na siasa. Akae atulie nyumbani alee wajukuu
Aombe kurufi milango iko wazi kwa kila mtu lakini sio yeye apigiwe magotiMwenyekiti alifanya makosa sana kusababisha Dr. kuondoka kwenye chama.
Chama ni watu hivyo ni wakati muafaka sasa Mwenyekiti amkaribishe dokta nyumbani.
Tukichunguza vizuri na tukahukumu kwa haki...Slaa anaweza asiwe mnafiki kama tunavyofikiri...ikiwa tu aliondoka kwa kupinga Lowassa kupewa kugombea urais.Mnafiki huyu mzee.
Tunaheshimu HOJA ya mtoa HOJA bila kujali Nia iliyo nyuma ya HOJA.Chadema wenyewe wanaweza kupinga, kwa kuwa kasema Dr Slaa!
Hatumuamini Yeye, tunaamini HOJA yake. Aweza TUBU BAADAYE na akasamehewa.Nani anamuamini sasa
Slaa alikuwa ASSET CDM,Siasa na unafiki ni vitu viwili sambamba. Angalia movement ya Lowasa na kundi lake kutoka ccm kwenda Chadema Kisha kurudi ccm, Membe kutoka Ccm kwenda ACT Kisha kurudi ccm. Haitoshangaza Slaa kutoka CDM kwenda CCM Kisha Kurudi CDM. Tukiachana na unafiki wake, mtaji wa chama Cha siasa ni watu, hasa wanaojua kujenga hoja kama Dr Slaa. Kama Dr anajirudisha taratibu acheni arudi. Pia alichoshauri naunga mkojo Hoga.
Alisema hatajohusisha na party politics sio kuachana na siasa!Huyu mzee ni snitch!!! Na alishasema hataki kujihusisha na siasa. Akae atulie nyumbani alee wajukuu