Dkt. Slaa haaminiki, msimuamini kabisa. Akipewa Ubalozi atawasaliti. Nina uhakika angelibakizwa Sweden asingelikuwa ndani ya Sauti ya Watanzania

tamaa ndio hulka yake
 
Slaa hajawahi kuwa msaliti hata Siku moja, msaliti ni Mbowe na Lissu wake baada ya kupokea mshiko wa Lowassa na kuamua kumchinjilia mbali Slaa akakimbilia Canada hakaanza kubeba mabox kwenye Supermarket vijana wa chadema wakaanza kejeli, ndipo Magufuli alishikwa na uruma Maana anajua uzalendo wa Slaa kupigana na ufisadi,hakaamua kuumpa ubarozi kutoka kwenye kubeba box,Slaa aliona hakuna cha kupoteza Maana makamanda waliisha msaliti, hata hungelikuwa Wewe usingelikataa hiyo kazi Maana akina Mbowe waliisha vuruga mipango yake yote.Katika wanasiasa wakeli tanganyika Slaa ni mmoja wapo,anajua kusimamia anachokiamini.
 
Uko sahihi
 
Sasa kwanini hao ambao unasema walimsaliti (chadema) slaa anawatuhumu kwamba hawasirikiane nae

Huyo magufuli ambaye anapigania ufisadi ni mtu yupi aliyefungwa kwa kosa la ufisadi
 
sasa matusi ya nini? Jibu hoja hata kama slaa ni baba yako. Jibu hoja! matusi hayana tija. Muulize huyo aliyekuleta duniani kama we are folos
Siyo tusi ni ukweli. Wanasema You fool me once shame on you, You fool me twice, shame on me. CCM wamewa fool mara ngapi?
 
Kama tulimuamini Lowassa na tukampa kura za kutaka awe rais wetu wa nchi bila kujali kashfa zake na hali yake ya kiafya basi sizani tena kama tunaweza tukawa na mashaka mwanasiasa mwengine yeyote kwa lolote.
 
Dokta Cassava sio Mdini sema akilambishwa asali badala ya badala ya kutulia na kukinyonya kibuyu anawageuka na kuwa mpiga zumari wa Dikteta.
Haongeki yule jamaa nakuhakikishia nimdini balsa nikiasi gani alipewa ambacho angemuomba Edo asingempa? Alimtetea mkatoliki mwenzake sio pesa wala teuzi tumuokope kama ukoma
 
Haongeki yule jamaa nakuhakikishia nimdini balsa nikiasi gani alipewa ambacho angemuomba Edo asingempa? Alimtetea mkatoliki mwenzake sio pesa wala teuzi tumuokope kama ukoma
Wamburu na Wamang'ati wamepokea Ukristo miaka ya 70 na 80 mimi nakumbukuka nilikuwa nikipita Gihandu nilikuwa nakuta watu wamevaa migolole na miswaki ya miti huku wakiombea gari liharibike ili wafungue matairi watengeneza viatu vya katambuga.

Ni lini wamekuwa wadini?
 
Tunajuwa kabisa DR Slaa ataendelea kuongea na kuokosoa kadri ya matakwa ya wanaompa hela.

Slaa ni sawa na malaya wa Bar ya Kimboka pale Buguruni, hutoka na mwanaume yeyote atakaye mpa hela.

Kesho CCM wakimpa hela atawafagilia pia
 
Tatizo unataja kikundi dini nafsi yamtu ndiomaana ndani yawajinga mungu alileta mitume. Kwani umewahi kujiuliza kutokana natabia zao ulizo zitaja ilikuwaje yeye akawa padri wqkati waodini hawajui?
 
Tatizo unataja kikundi dini nafsi yamtu ndiomaana ndani yawajinga mungu alileta mitume. Kwani umewahi kujiuliza kutokana natabia zao ulizo zitaja ilikuwaje yeye akawa padri wqkati waodini hawajui?
Mimi sijawahi kuuona huo "Udini" wa Dokta Cassava, hebu wewe nieleze umeuonea wapi kuwa Padre sio "Udini" ndugu.
 
Mimi sijawahi kuuona huo "Udini" wa Dokta Cassava, hebu wewe nieleze umeuonea wapi kuwa Padre sio "Udini" ndugu.
Unauliza nini kwani hajui kusoma?nimesema wazi kuwa aliondoka chadema nikwasababu yakumsaidia magu mkatoliki mwenzake ambae nimagu hakuwa nasababu .mfano mungine magu aliumiza watu wavuvi,matajiri.kuvuruga uchaguzi .kuvuruga mikataba.ambayoleo inatuweka pagumu.kuzuia siasa namengine mengi Dr mihogo alisifia tu nahata kusweka ndani mbowe yote hayonikwakua yalifanywa namkatoliki mwenzake ishi kwakumbukumbu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…