dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Issue ya Lowasa kwenda Chadema hujui undani wake Kaa kimyaBado yupo smart tu. Chama ndio kilmkosea kumleta Lowasa awe mgombea.
Dr Slaa yupo sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue ya Lowasa kwenda Chadema hujui undani wake Kaa kimyaBado yupo smart tu. Chama ndio kilmkosea kumleta Lowasa awe mgombea.
Dr Slaa yupo sahihi.
Wajinga mko wengi sana mpaka sasa bado mnataka mtu mwingine afikiri kwa niaba yenu nyie mBaki kumuimbia pambioKwani Rais sio Mwananchi? Hana au haruhusiwi kupendekeza tuwe na Katiba mpya? Rais pia si ni Mwananchi kama alivyo Mwenekiti wa Chadema au ACT au mtu mwingine asie na Chama
Ulishiriki hicho kikao?Mazungumzo ya kumleta Lowasa aje agombee Urais?
UKAWA walikua tayari wamempitisha Dr Slaa kua mgombea tayari( refer slogan ya chairman kubadili gia angani)
Dr Slaa alikua muhimu sana kwa chama kuliko Kiongozi yoyote akifuatiwa na Lisu.
kwahiyo tumsikilize dr.slaa na Mbowe 🙄Wajinga mko wengi sana mpaka sasa bado mnataka mtu mwingine afikiri kwa niaba yenu nyie mBaki kumuimbia pambio
Wewe kweli ni kichwa maji.Stop that, yeye ndiye aliongoza mazungumzo ya kumleta.. stop that propaganda
Tumemuuliza mama yake kakubali kuwa wewe kweli ni kubwa jinga.muulize mama yako kama mimi kubwa jinga atakueleza muziki tunaoucheza
Nawe muulize mama yako alivyoweza kaziTumemuuliza mama yake kakubali kuwa wewe kweli ni kubwa jinga.
Kwa baadhi ya watu sio kwa watu wote !!Pesa huvuruga kila kitu mkuu, achana na kitu inaitwa pesaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Sio wote wellKwa baadhi ya watu sio kwa watu wote !!