Dkt. Slaa: Kina Mdee watoke bungeni, Spika ni Kiburi

Dkt. Slaa: Kina Mdee watoke bungeni, Spika ni Kiburi

Mzee hadi leo kwa umri wako hujui kwamba siasa duniani kote huwa inakwenda na wakati.

Wakati wa jiwe yametokea yaliyotokea na yashapita..Hoja ni ya leo - Je wabunge hao wana credibility ya kuwa ndani ya Bunge la JMT ?
Hakuna issue kama hiyo. Kuna watu wakisema akina Halima Mdee wakukuzwe nitawasikiliza na kuwaongeza nguvu. Lakini siyo huyu Mzee àliyesaliti harakati za wana mageuzi kwa kupokea vifedha vya kuishi Canada kisha kwenda Ubelgiji kufanya kibarua. Huyu hakuweza hata ku sympathise na Lissu qliposhambuliwa kwa risasi. Huyu ni TAKATAKA akae kimya tu
 
Back
Top Bottom