Pre GE2025 Dkt. Slaa: Mbowe ajitafakari sana. Ataaibika kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi bado Dr. Slaa yuko upinzani? Anaongelea mbinu za kumuondoa madarakani Mama yetu.
Ni Mtanzania na anaruhusiwa kutoa hoja kama wananchi wengine kwa mujibu wa Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
 
Kwamba sasa hivi hii ndio imekuwa agenda.., yaani ndio Starter / Appetizer, Menu na Dessert..

 
Ushauri mujarabu
 
Kushindwa ndio kuaibika?
Mimi nadhani akimkimbia Lissu ndio ataibika zaidi. Akishindana ataonyesha kuwa ni mtu wa principle hata akipata kura moja. Haitakuwa mara ya kwanza wapiga kura kufanya uamuzi ambao wanajutia baadae. Apigane mpaka mpambano utakapoisha. Akishindwa atabaki na dignity yake. Hawa wengine wanatafuta legitimacy walioipoteza walipokata tamaa katikati ya safari.

Amandla...
 
Hivi mbowe hawezi kusema kwa maslahi ya mapana ya chama naachia ngazi na sitagombea kupisha mawazo mapya? Mzee Biden alijiondoa kuwania tena urais wa marekani dakika za mwisho na kumuachia mwanamama Kamala Harris aliyeshindwa na ndugu Tramp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…