WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Asante mkuu kwa ufafanuzi wako.Puppet ni mtu anayeongozwa na mtu mwingine na hana maamuzi yake.
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu kwa ufafanuzi wako.Puppet ni mtu anayeongozwa na mtu mwingine na hana maamuzi yake.
Amandla...
kwahiyo mzee slaa kaona ameongea point ya maana sana ee, dah 🐒Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa, ametoa rai ya wazi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kujitafakari na kuachia nafasi ya uongozi ili kutoa nafasi kwa kizazi kipya cha viongozi kama Tundu Lissu.
Dkt. Slaa ametoa maoni hayo akizungumzia medani za kisiasa za sasa, akisisitiza kuwa nyakati zimebadilika na zinahitaji mbinu mpya na viongozi wapya wenye uwezo wa kukabiliana na serikali ya CCM kwa ujasiri na ukali wa hoja.
“Kila mtu anatakiwa katika mapambano kwa wakati fulani. Leo si wakati wa Mbowe. Miaka 30 ya uongozi wake imemaliza mchango wake mkubwa, lakini sasa taifa linahitaji watu tofauti kama Lissu na Heche ambao hawamung’unyi maneno,” amesema Dkt. Slaa katika mazungumzo yake ya hivi karibuni.
Akifafanua zaidi, Dkt. Slaa amesema kuwa mbinu za kisiasa zilizofanikiwa chini ya uongozi wa Mbowe hapo awali zimepitwa na wakati. Hii ni kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa siasa na ujasiri unaohitajika leo kukabiliana na utawala wa CCM.
Dkt. Slaa amesisitiza kuwa Tanzania ya sasa inahitaji viongozi wenye msimamo mkali na wa moja kwa moja dhidi ya CCM.
“Mbowe ni mtu wa ku-compromise, lakini leo hatuhitaji compromise. Tunahitaji viongozi wa aina ya Lissu na Heche ambao wanaweza kuikemea CCM kwa lugha kali, lakini si ya matusi,” amesema.
Kwa mujibu wa Dkt. Slaa, hotuba za Mbowe za hivi karibuni hazijawahi kuikemea serikali kwa namna ambayo inawapa wananchi ujasiri wa kusimama dhidi ya CCM.
“Mbowe amefanya kazi kubwa kama Musa alivyowatoa waisraeli utumwani. Lakini kama Musa hakuingiza watu wake Kaanani, Mbowe pia anapaswa kukubali kazi hiyo iendelee na kizazi kipya cha viongozi”, amesema Dkt. Slaa.
“Tanzania inahitaji viongozi wapya wenye silaha mpya za kisiasa. Mbowe hana uwezo wa kumwondoa Rais Samia madarakani. Tukimung’unya maneno, tutapoteza taifa zima,” amesema.
Dkt. Slaa alikumbushia mabadiliko ya uongozi ndani ya CHADEMA yaliyofanikisha kupatikana kwa damu mpya katika nyakati tofauti, akiwataja...
Source: Jambo TV
Anajinufaisha kupitia mgongo wa chadema huku akihadaa wanachama kwa kile kinachoitwa kukopesha chamaKwani Mbowe anategemea kula kwenye siasa? Akijitoa ndio atapata nini?
Chawa kama wewe tena nzi wa kijani huwezi kuiona point iliyopokwahiyo mzee slaa kaona ameongea point ya maana sana ee, dah 🐒
Wasemaji wa mbowe wa kujitolea mmekuwa wengi sana.Kwani Mbowe anategemea kula kwenye siasa? Akijitoa ndio atapata nini?
Kwani nyie chawa wa Lisu hamtaki pesa?Wasemaji wa mbowe wa kujitolea mmekuwa wengi sana.
Pesa za Abdul na mama yake si mcheso mucheso😅
relax gentleman,Chawa kama wewe tena nzi wa kijani huwezi kuiona point iliyopo
relax gentleman,Chawa kama wewe tena nzi wa kijani huwezi kuiona point iliyopo
Akitoka msipopata hata Mbunge mmja mtaishije?Anajinufaisha kupitia mgongo wa chadema huku akihadaa wanachama kwa kile kinachoitwa kukopesha chama
Mbowe anashauriwa na Yeriko ni hatari snTatizo Mbowe anawasikiliza wapambe ambao hawafikirii kesho ya Chadema,mtu akisema Mbowe ni Alfa na Omega Chadema huyo ni wa kuogopwa kama ukoma yaani Chadema siyo taasisi bali ni duka la Mbowe watu sampuli ya Yericko na Ntobi wanampoteza Mbowe. Hivi kweli Mbowe hadi sasa hajui wanachama wa Chadema wanataka nini,na kama hajui basi hafai kabisa kuongoza chama tena. Wanachama ambao ndiyo wenye kura za kuweza kuipatia Chadema madiwani na wabunge kuwapuuza ni political suicide. Hao wajumbe 1200 hawawezi kuivusha Chadema.
Hivi mbowe hawezi kusema kwa maslahi ya mapana ya chama naachia ngazi na sitagombea kupisha mawazo mapya? Mzee Biden alijiondoa kuwania tena urais wa marekani dakika za mwisho na kumuachia mwanamama Kamala Harris aliyeshindwa na ndugu Tramp
Mkuu hii picha ya muiba nyuzi za humu usiiweke tena maana mtu anaweza kuipigiza simu yake chini kwa kudhani anamuua.Tatizo Mbowe anawasikiliza wapambe ambao hawafikirii kesho ya Chadema,mtu akisema Mbowe ni Alfa na Omega Chadema huyo ni wa kuogopwa kama ukoma yaani Chadema siyo taasisi bali ni duka la Mbowe watu sampuli ya Yericko na Ntobi wanampoteza Mbowe. Hivi kweli Mbowe hadi sasa hajui wanachama wa Chadema wanataka nini,na kama hajui basi hafai kabisa kuongoza chama tena. Wanachama ambao ndiyo wenye kura za kuweza kuipatia Chadema madiwani na wabunge kuwapuuza ni political suicide. Hao wajumbe 1200 hawawezi kuivusha Chadema.
Kushindwa uchaguzi na kukubali matokeo ni heshima kubwa na legacy nzuri.Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa, ametoa rai ya wazi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kujitafakari na kuachia nafasi ya uongozi ili kutoa nafasi kwa kizazi kipya cha viongozi kama Tundu Lissu.
Dkt. Slaa ametoa maoni hayo akizungumzia medani za kisiasa za sasa, akisisitiza kuwa nyakati zimebadilika na zinahitaji mbinu mpya na viongozi wapya wenye uwezo wa kukabiliana na serikali ya CCM kwa ujasiri na ukali wa hoja.
“Kila mtu anatakiwa katika mapambano kwa wakati fulani. Leo si wakati wa Mbowe. Miaka 30 ya uongozi wake imemaliza mchango wake mkubwa, lakini sasa taifa linahitaji watu tofauti kama Lissu na Heche ambao hawamung’unyi maneno,” amesema Dkt. Slaa katika mazungumzo yake ya hivi karibuni.
Akifafanua zaidi, Dkt. Slaa amesema kuwa mbinu za kisiasa zilizofanikiwa chini ya uongozi wa Mbowe hapo awali zimepitwa na wakati. Hii ni kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa siasa na ujasiri unaohitajika leo kukabiliana na utawala wa CCM.
Dkt. Slaa amesisitiza kuwa Tanzania ya sasa inahitaji viongozi wenye msimamo mkali na wa moja kwa moja dhidi ya CCM.
“Mbowe ni mtu wa ku-compromise, lakini leo hatuhitaji compromise. Tunahitaji viongozi wa aina ya Lissu na Heche ambao wanaweza kuikemea CCM kwa lugha kali, lakini si ya matusi,” amesema.
Kwa mujibu wa Dkt. Slaa, hotuba za Mbowe za hivi karibuni hazijawahi kuikemea serikali kwa namna ambayo inawapa wananchi ujasiri wa kusimama dhidi ya CCM.
“Mbowe amefanya kazi kubwa kama Musa alivyowatoa waisraeli utumwani. Lakini kama Musa hakuingiza watu wake Kaanani, Mbowe pia anapaswa kukubali kazi hiyo iendelee na kizazi kipya cha viongozi”, amesema Dkt. Slaa.
“Tanzania inahitaji viongozi wapya wenye silaha mpya za kisiasa. Mbowe hana uwezo wa kumwondoa Rais Samia madarakani. Tukimung’unya maneno, tutapoteza taifa zima,” amesema.
Dkt. Slaa alikumbushia mabadiliko ya uongozi ndani ya CHADEMA yaliyofanikisha kupatikana kwa damu mpya katika nyakati tofauti, akiwataja...
Source: Jambo TV
Ninasapoti ushauri wa Dr. Slaa.
According to Lissu alipohojiwa na radio moja ya Ulaya wakati ule Slaa alipoiacha CHADEMA mwaka 2015, Lissu alisema Slaa aliporudi nyumbani alitupiwa virago vyake na mchumba wake kwa kukubali Lowassa agombee urais,; hio ndiyo sababu iliyomfanya Slaa astaafu siasa za vyama ili kunusuru uhawara wake na huyo mchumba wake; hata hivyo waliishaachana huko ulaya hivyo Slaa anerudia ubachela.Usimpa dikozoe maneno. Dr. Slaa hajawahi kusema kuwa amestaafu siasa BALI alisema anastaafu siasa za vyama na kubakia kwenye siasa za kitaifa zenye tija kwa nchi". Lakini hata akirudi kwenye siasa za vyama, hafanyi kosa lolote. Kwa kawaida mtu hufanya maamuzi fulani kwa kutegemea mazingira ya wakati huo. Mazingira yakibadilika, mtu ambaye ni dyanamic anatakiwa kubadilika ili kukabiliana na mabadiliko.
anaweza akatumia hela zake kubaki madarakanikwanini munamuogpa sana mwamaba? kama munajiamini tusibiri sanduku la kura
Pesa haramu?Kwani nyie chawa wa Mbowe hamtaki pesa?
SLAA kashindwa mara kadhaa sijaona wapi alipoaibika.Kushindwa ndio kuaibika?