Pre GE2025 Dkt. Slaa: Mbowe ajitafakari sana. Ataaibika kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwahiyo mzee slaa kaona ameongea point ya maana sana ee, dah 🐒
 
Dr Slaa ni hawara wa Covid19 anayeitwa Cecilia... ni mzee mwenye tabia chafu sana ya uzinzi. Huyo Cecy ni binti wa aliyekuwa rafiki wa karibu sana wa Dr Slaa yaani walikuwa wale marafiki kama ndugu. Cecy ni kama binti yake. Cha kushangaza Slaa bila aibu akaanza kula tunda kabla hata halijaiva. Pamoja na kurudia mtihani wa form four kwa miaka mingi ila kilaza Cecy aliweza kuupata ubunge viti maalum kupitia Slaa. Ikumbukwe Cecy alimaliza form four 1999 ila hadi 2004 alikua anarudia mtihani.

Kwa maelezo hayo itoshe kusema Slaa hana uhalali wa kimaadili wala kisiasa kumnyooshea Mbowe kidole. Lissu ni adui tu wa demokrasia ila hana skendo nyingi za kimaadili.
 
Mbowe anashauriwa na Yeriko ni hatari sn
 
Hivi mbowe hawezi kusema kwa maslahi ya mapana ya chama naachia ngazi na sitagombea kupisha mawazo mapya? Mzee Biden alijiondoa kuwania tena urais wa marekani dakika za mwisho na kumuachia mwanamama Kamala Harris aliyeshindwa na ndugu Tramp

kwanini munamuogpa sana mwamaba? kama munajiamini tusibiri sanduku la kura
 
Mkuu hii picha ya muiba nyuzi za humu usiiweke tena maana mtu anaweza kuipigiza simu yake chini kwa kudhani anamuua.
 
Kushindwa uchaguzi na kukubali matokeo ni heshima kubwa na legacy nzuri.

"Janja yake paka panya kwisa gundua' msemo mmoja wa zamani.
 
Dr.Slaa kaa pembeni uangalie viongozi wakichaguliwa kupitia sanduku la kura.
Kwanini unatoa ushauri wa mgombea Mbowe ajiondoe na ili iwe nini?

Hakuna nafasi ya Mwenyekiti kupitia mlango wa nyuma,wala nafasi ya kuvunja katiba ili fulani apewe wenyekiti wa mezani.

Ukiwasikiliza team Lissu kwanza wanadai Mwenyekiti Mbowe ame OVERSTAY kwenye wadhifa wa Uwenyekiti lakini wapo tiyari kwenda uchanguzi. Kwanini hawashindikizi kukarabati katiba kwanza kuweka ukomo wa uwenyekiti ndio uchanguzi ufanyike?

Hata kabla ya vikao rasmi Lissu aishatangaza kugombea uwenyekiti katika mazingira yale yale.
Na mkishindwa mtamulaumu nani?
Haya mambo ya kukalili eti Mbowe must go, bila Effort ya kutatua tatizo kisayansi ni shida.







Ninasapoti ushauri wa Dr. Slaa.
 
According to Lissu alipohojiwa na radio moja ya Ulaya wakati ule Slaa alipoiacha CHADEMA mwaka 2015, Lissu alisema Slaa aliporudi nyumbani alitupiwa virago vyake na mchumba wake kwa kukubali Lowassa agombee urais,; hio ndiyo sababu iliyomfanya Slaa astaafu siasa za vyama ili kunusuru uhawara wake na huyo mchumba wake; hata hivyo waliishaachana huko ulaya hivyo Slaa anerudia ubachela.

Hapa nilikuwa nakuhabarisha sababu ya Slaa kuacha siasa za vyama maana naona hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…