Tetesi: Dkt Slaa, Msigwa, Silinde, Nassari, Mwambukusi na wenzao wengi wakiwemo Covid 19 kurejea CHADEMA baada ya John Heche kuchukua udhibiti CHADEMA

Kisaikolojia, hata kama Mh Mbowe ni mhimili kwenye CDM ila kuendelea kuwepo ktk kiti chake kwasababu zozote zile inafanya chama kiwe kama dormant na kupunguza ushawishi...ila kubadili uongozi naamini yasemwayo kutaleta uamsho mpya..chama chochote huwa lazima kila mwaka kisajili wanachama wapya hasa wale wachanga kutoka mshuleni na vyuoni..those above 18 years of age. Sasa ni kama mindset za watu wengi kuona kama chama chini ya Mbowe hakuna jipya hata kama litakuwepo. Cdm wapate new chairman mwenye uwezo na makini asiyeyumbishwa lakini mwenye uwezo wa kujenga chama cha siasa bora kikawa kama mbadala wa ccm, maana hata kama watu wataichoka ccm ila kama hakuna chama mbadala aisee watu watabaki na ccm yao waliyoizoea
 
Nje ya ukabila bado Heche Ni kiongozi wa Kweli, wassira mbona wa huko Na alikuwa mchumia tumbo tu😠😡
 
Hopeless guy ever. Wishful thinking yako unaigeuza kuwa tetesi. Umekosa cha kuandika? Halafu unapoteza muda kuandika mengi yasiyo na kichwa wala miguu kama vile unaowaandikia ni misukule, yaani hawawezi kupambanua mambo. Hopeless.
 
Hopeless guy ever. Wishful thinking yako unaigeuza kuwa tetesi. Umekosa cha kuandika? Halafu unapoteza muda kuandika mengi yasiyo na kichwa wala miguu kama vile unaowaandikia ni misukule, yaani hawawezi kupambanua mambo. Hopeless.
Unamaanisha nini sasa hapo,
Kwamba tetesi zangu sio sahihi?
 
Acha kumharibia Mbowe na chama chake binafsi. Nani alikuambia Mbowe anamaliza muda wake? Na hata kama akiamua kuachia uenyekiti lazima atamrithisha mwanae na sio mtu baki Heche. Huyo Heche apewe onyo kutaka kuingilia mambo ya familia za watu.
Chama cha MBOWE ni balaa
 
Ila asilogwe akaumwa mafua akaenda India checkup ya afya hatorudi
 
..Silinde aache uwaziri arudi Chadema?

..mtoa mada akafundishwe upya kufanya propaganda.
 
huyo heche mali kazipatia kwenye siasa aliokotwa akiwa fukara siasa zikianza kumfilisi na kumletea figisu kwenye ukoo wake wakipata tabu...anasaliti kambi chap...yeyote ataweza kuongoza chama kama siasa safi zitafanya kazi tz...mwiba kwa sisiem ni uimara wa mowe baada ya dhoruba zote alizopigwa kushindwa na kuendelea kusimama. kilichobaki ni propaganda amekaa sana madarakani je amevurunda amevunja katiba ya chama....eti chama chake hata kama ni chake ccm kinawauma nini na nyie anzisheni vya kwenu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…